Tetesi: Baada ya CUF kuchora mstari polisi wauana Zanzibar

Tetesi: Baada ya CUF kuchora mstari polisi wauana Zanzibar

Status
Not open for further replies.
Gemu imeanza tunawasubiri mazombi tuwaone mitaani kwani ni ngumu kuwaona watu wanachangishana buku tana tano kujenga eneo la kupumzikia jioni na kubadilishana mawazo nyie mukimaliza kujenga tu wao wanakuja na chainsaw na mapanga, mashoka na kuvunja.
 
ngoja tuone sehemu ya pili..
kwa taarifa tu ni kwamba kuna bonge la movie Dar leo..
sterling UKAWA..
umeyor !

Kwa taarifa tu CCM wameshaweka mpira kwapani na mechi imeahirishwa...

...
 
Mdhulumaji kajidhulumu mwenyewe!! hiyo inaitwa
 
Watu wengine bhana baadae baadala ya kuombea amani taifa let letu mnaombea migogoro
 
Unapoleta hoja kama hii uwe na uhakika.Na lazima upate taarifa za kipolisi na uhalisia.
Na kamanda mkadam atalitolea taarifa,then hapo ndio unaweza kuchangia.

Ila kama unaenda hovyo,basi watakusomesha number
 
Halafu Agustino Mahiga anatoka nchi hii kwa fedha za walipa kodi wanyonge eti kwenda KUSULUHISHA mgogoro wa Burundi, Trump aliona mbali sana kwa aliyosema.
 
Mada ya kipumbavu kutoka kwa lofa na mpumbavu Mwiba
Kuanzia sasa hvi nimeona niwe nakwita tu kama MTANI wa JADI; ninachokupendeaga mtani ni hiki; Magufuli akibadiri tu msimamo kuhusu Zanzibar na we unabadirika; yaani hunaga msimamo wako binafsi, lazima mwingine afikirie kwa niaba yako and then we unaendeleza alipofikiria huyo!
 
Hakuna cha bomu waka nini!
Watu wenyewe wooote nchini Zanzibar hawajai hata Kawe!
Itokee fyoko tu, na liwalo litakuwa!
Hoja dhaifu Sana ulizozitoa hapa. Zanzibar ni kubwa kuliko Burundi, lakini umeona Moto uliowaka Burundi?!!
 
Hoja dhaifu Sana ulizozitoa hapa. Zanzibar ni kubwa kuliko Burundi, lakini umeona Moto uliowaka Burundi?!!
Zanzibar ni zanzibar, na si Burundi.
Narudia watu wenyewe kiduchu hata kuganjani hamjai, ni kuwaleta wana Kawe tu hapo Zenj na inakuwa one on one!
 
Kuanzia sasa hvi nimeona niwe nakwita tu kama MTANI wa JADI; ninachokupendeaga mtani ni hiki; Magufuli akibadiri tu msimamo kuhusu Zanzibar na we unabadirika; yaani hunaga msimamo wako binafsi, lazima mwingine afikirie kwa niaba yako and then we unaendeleza alipofikiria huyo!
Mkuu huyo mtani Wako bendera fuata upepo. Akili zake hazina tofauti na nguo za ndani za kinadada poa, kazi yake ni kuficha mpaka uchafu usiofichika.
 
Zanzibar ni zanzibar, na si Burundi.
Narudia watu wenyewe kiduchu hata kuganjani hamjai, ni kuwaleta wana Kawe tu hapo Zenj na inakuwa one on one!
Ninakwambia hoja zako ni hoja mfu hazina ata chembe ya uhalisia. Serekali yenyewe imeshindwa kutatua mgogoro wa wakulima na wafugaji miaka nenda rudi. Tena kwa level ya wilaya ambazo ni ndogo kuliko Zanzibar yenye mamlaka kamili.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom