Mazindu Msambule
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 7,510
- 6,877
Sometimes hua namkumbuka sana Mkosamali aliposema; "Mwaka hu Watanzania wakichagua tena ccm, napendekeza tutafute consultant wa kuja kupima akili zetu kama tunao uwezo wa kufikiri na ku reason mambo" Huyo mtani wangu ni 1 wao kaka.Mkuu huyo mtani Wako bendera fuata upepo. Akili zake hazina tofauti na nguo za ndani za kinadada poa, kazi yake ni kuficha mpaka uchafu usiofichika.
kwa mataso tuliyoletea na ccm miaka 50 ilipaswa tukipumzishe hiki chama mfu. Lakini tatizo lipo kwa watanzania tulifundishwa uoga na tunatafunwa na dhambi ya uoga.Sometimes hua namkumbuka sana Mkosamali aliposema; "Mwaka hu Watanzania wakichagua tena ccm, napendekeza tutafute consultant wa kuja kupima akili zetu kama tunao uwezo wa kufikiri na ku reason mambo" Huyo mtani wangu ni 1 wao kaka.
kazi ya mkwere hii kaacha upupuKuna tetesi kuwa kuna idadi kubwa ya polisi wamerushiana risasi na kusababisha idadi isiyopungua ya vifo sita taarifa zingine zinasema ni askari mmoja tu aliekufa.
Madai a mkasa huo kuna wenye madai kuwa kulikuwa na ujambazi katika kituo cha Shell na polisi waliofika kupambana na majambazi mmoja wao alifumuliwa kichwa na risasi iliyotoka upande wa majambazi na kufa papohapo bila ya kusubiri kufikishwa hospitali.
Na kuna madai kuwa timing zimekosewa waliokuwa wakileta vurugu ni wale wajulikanao mazombi wakiwa wameanza kushuka katika maeneo yenye wakazi wengi wanachama wa chama cha CUF ,ambapo baada ya kauli ya CUF kupiga mstari mwekundu ilikuwa sio rahisi kuwapiga wananchi na kuzua mtafaruku na polisi aina ya FFU ndio wakipita wakati huo na kwa hali ilivyokuwa walianza kupambana ,kutupa jicho pembeni FFU mmoja pindu ametulia ameanguka amekwisha kata roho inasemekana zombi mmoja amekamatwa.
Ajabu na kweli baada ya iwe imetangazwa zombi amekamatwa wamesema ni majambazi wakati kwenye kituo cha petrol hakuna taarifa kama kilitaka kuvamiwa isipokuwa mapambano yalitokea kando ya kituo hicho ambacho hakipo mbali na ni jirani kabisa na makazi ya watu.
Picha ni kuwa ikitokea zombi wakikamatwa waitwe majambazi ila sijui kama hao mazombi wanaotumika wanalijua.
ni uchizi tz kwenda kusuluhisha mgogoro burundi yaani haingii akilini kabisaHalafu Agustino Mahiga anatoka nchi hii kwa fedha za walipa kodi wanyonge eti kwenda KUSULUHISHA mgogoro wa Burundi, Trump aliona mbali sana kwa aliyosema.
Mkuu vaa magunia beba mzigo huo nenda Mlima hanang au Kilimanjaro ukaliombee taifa, Mungu atakubariki Na uzao wakoWatu wengine bhana baadae baadala ya kuombea amani taifa let letu mnaombea migogoro
Dhaifu or not, fanya fyoko ule jeuri yako!Ninakwambia hoja zako ni hoja mfu hazina ata chembe ya uhalisia. Serekali yenyewe imeshindwa kutatua mgogoro wa wakulima na wafugaji miaka nenda rudi. Tena kwa level ya wilaya ambazo ni ndogo kuliko Zanzibar yenye mamlaka kamili.
Wewe lete mada yako ya uweledi na hariri na utajiri. Usiwe na mawazo ya mgando. Tukio limetokea.Mada ya kipumbavu kutoka kwa lofa na mpumbavu Mwiba