Uchunjuba Punjubi
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 799
- 622
Nahisi kama mziki wa Dance unataka kurudi tena juu na kama ambavyo kwenye Bongo Flavour kuna ushindani wa Diamond na Kiba basi huku kwenye Dance kutakuwa na Papii Kocha na Christian Bella, na kama ikitokea basi iwe kwa Heri sio Shari.