Baada ya Donald Trump kushinda uchaguzi wa urais Marekani kesi mbili zake zitaendelea Mahakani?

Baada ya Donald Trump kushinda uchaguzi wa urais Marekani kesi mbili zake zitaendelea Mahakani?

Boi Manda

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2023
Posts
388
Reaction score
506
Donald Trump (78) ndiye rais mteule wa Marekani baada ya kuibuka mshindi kwenye uchaguzi ulifanyika Jumanne ya Novemba 5 mwaka huu nchini humo

Kabla ya ushindi wake mwamba huyo Trump alikuwa akikabiliwa na kesi mbili tofauti awali alifikishwa mahakani kwa kosa la kutumia ofisi ya Serikali vibaya alipokuwa Ikulu ya nchi hiyo

Baadaye akafikishwa tena mahakamini na kusomewa shitaka la kunyanyasa wanawake kingono

Sasa je akishaapishwa Januari mwakani kuwa rais rasmi wa nchi hiyo tajiri duniani kesi hizo zitaendelea au zitasimama kwanza mpaka amaliza kipindi chake cha uongozi?

Na kama kesi hizo zitaendelea akiwa rais wa nchi akitakiwa kwenda mahakamani atahudhuria huko kwa Pilato?

Mnaojua katiba vizuri ya USA na sheria na siasa za nchi hiyo naomba mnijuze na kunisaidia kujibu mawasli yangu hayo tafadhali

Comasava
 
Hakuna kesi itakayoendelea. Kila kitu kinaenda kutupiliwa mbali. Kitendo cha Trump kuchaguliwa kuwa rais, tayari kwa chenyewe kinampatia kinga kama mkuu wa nchi na amiri jeshi mkuu. Unamshtakije sasa?

Kumbuka rais mteule ni rais, hata kama bado hajaapa. Ndiyo maana analindwa na anapokea taarifa nyeti za usalama wa nchi.

Kinachoenda kutokea ni kutupiliwa mbali kesi moja hadi nyingine. Hukumu iliyokuwa imepangwa 29 Novemba hii, tayari imeanza kusambaratishwa.

Kama wakijitahidi sana, labda wangoje hadi atoke madarakani 2028! Ambapo wakiamu kufuata njia hiyo, nani ajuaye, Trump anaweza kubadili gia na upepo angani, akagombea tena muhula wa 3 - kinyume na katiba ya sasa!

Lakini kwa mamlaka aliyo nayo Trump kwa sasa, uwezekano huo wa kuendelea na hayo mashtaka butu unaenda kubatilishwa rasmi mazima. Kitu ambacho watu wengi hawajui ni kwamba Trump yuko radhi kwa lolote isipokuwa kufanyiwa tena hizo figisu na hila.

Kimsingi, Trump yuko huru 100%. Ni kana kwamba kwa kuukwaa urais, tayari amejisamehe mwenyewe. Katika siku zijazo tutegemee timu matata ya upande wa utetezi kubatilisha kesi moja baada ya nyingine.

Ni mwendo wa kucheza na vifungu vya sheria tu. Hakuna nukta hata moja itakayoachwa, ilimradi tu Trump apumue dhidi ya mahasimu wake wenye chuki, husda na kinyongo.

Au haiwezekani? Trump amejinasibu kwenda na nguvu ya umma. Na katika hilo amefanikiwa mno. Ndiyo maana akaruhusiwa kuendelea na kampeni za urais licha ya kesi zake kufikia hatua ya mwisho muhimu vile.

Kama umma uliweza kumlinda wakati ule akiwa si chochote, ni mara ngapi zaidi watamkingia kifua sasa?

Ikumbukwe kwamba raia wengi waliompigia kura hawaamini kama Trump ni mkosaji kama inavyodaiwa, bali wanajua ni njama za kumpoka urais na hatimiaye kulididimiza taifa. Kwa sasa Democrats ndio wamegeuka maadui wa umma.
 
 
Ndiyo itaendelea mahakama za marekani Huwa huru.

Yaani hazipigiwi simu na mhimili wa urais kama zilivyo mahakama za Tanzagizanyika.
Huku kwetu Cuba si tumeambiwa muhimili wa Serikali ndio umejichimbia mizizi mirefu na ndio wenye shekali?
 
Zitaendelea mpaka January 20 2025 akiwa rais zitasitishwa, akimaliza urais zinaweza kuendelea tena.
Kwa hiyo hukumu ya kesi zake ikitoka kabla ya Januari 20 akikutwa na hatia haapishwi tena anakosa urais?
 
Hakuna kesi itakayoendelea. Kila kitu kinaenda kutupiliwa mbali. Kitendo cha Trump kuchaguliwa kuwa rais, tayari kwa chenyewe kinampatia kinga kama mkuu wa nchi na amiri jeshi mkuu. Unamshtakije sasa?

Kumbuka rais mteule ni rais, hata kama bado hajaapa. Ndiyo maana analindwa na anapokea taarifa nyeti za usalama wa nchi.

Kinachoenda kutokea ni kutupiliwa mbali kesi moja hadi nyingine. Hukumu iliyokuwa imepangwa 29 Novemba hii, tayari imeanza kusambaratishwa.

Kama wakijitahidi sana, labda wangoje hadi atoke madarakani 2028! Ambapo wakiamu kufuata njia hiyo, nani ajuaye, Trump anaweza kubadili gia na upepo angani, akagombea tena muhula wa 3 - kinyume na katiba ya sasa!

Lakini kwa mamlaka aliyo nayo Trump kwa sasa, uwezekano huo wa kuendelea na hayo mashtaka butu unaenda kubatilishwa rasmi mazima. Kitu ambacho watu wengi hawajui ni kwamba Trump yuko radhi kwa lolote isipokuwa kufanyiwa tena hizo figisu na hila.

Kimsingi, Trump yuko huru 100%. Ni kana kwamba kwa kuukwaa urais, tayari amejisamehe mwenyewe. Katika siku zijazo tutegemee timu matata ya upande wa utetezi kubatilisha kesi moja baada ya nyingine.

Ni mwendo wa kucheza na vifungu vya sheria tu. Hakuna nukta hata moja itakayoachwa, ilimradi tu Trump apumue dhidi ya mahasimu wake wenye chuki, husda na kinyongo.

Au haiwezekani? Trump amejinasibu kwenda na nguvu ya umma. Na katika hilo amefanikiwa mno. Ndiyo maana akaruhusiwa kuendelea na kampeni za urais licha ya kesi zake kufikia hatua ya mwisho muhimu vile.

Kama umma uliweza kumlinda wakati ule akiwa si chochote, ni mara ngapi zaidi watamkingia kifua sasa?

Ikumbukwe kwamba raia wengi waliompigia kura hawaamini kama Trump ni mkosaji kama inavyodaiwa, bali wanajua ni njama za kumpoka urais na hatimiaye kulididimiza taifa. Kwa sasa Democrats ndio wamegeuka maadui wa umma.
Wajuzi wa siasa za Amerika wanasema kesi zinaweza kuendelea kabla hajaapishwa Januari 20 mwaka huu
 
Kwa hiyo hukumu ya kesi zake ikitoka kabla ya Januari 20 akikutwa na hatia haapishwi tena anakosa urais?
Wanaweza kumpiga faini, kiuhalisia inaonekana kesi zitauawa kwa sababu ni vigumu kumfunga mtu anayeenda kuwa rais, na hao waendedha mashitaka wengine Trump kashasema akiwa rais atawafukuza kazi.

Al-Jazeera wameandika suala hili kirefu hapa.

 
Huenda Trump alipambania sana kiti cha urais ili aepukane na kesi hizo, angalau kwa kipindi cha urais.
 
Hakuna kesi itakayoendelea. Kila kitu kinaenda kutupiliwa mbali. Kitendo cha Trump kuchaguliwa kuwa rais, tayari kwa chenyewe kinampatia kinga kama mkuu wa nchi na amiri jeshi mkuu. Unamshtakije sasa?

Kumbuka rais mteule ni rais, hata kama bado hajaapa. Ndiyo maana analindwa na anapokea taarifa nyeti za usalama wa nchi.

Kinachoenda kutokea ni kutupiliwa mbali kesi moja hadi nyingine. Hukumu iliyokuwa imepangwa 29 Novemba hii, tayari imeanza kusambaratishwa.

Kama wakijitahidi sana, labda wangoje hadi atoke madarakani 2028! Ambapo wakiamu kufuata njia hiyo, nani ajuaye, Trump anaweza kubadili gia na upepo angani, akagombea tena muhula wa 3 - kinyume na katiba ya sasa!

Lakini kwa mamlaka aliyo nayo Trump kwa sasa, uwezekano huo wa kuendelea na hayo mashtaka butu unaenda kubatilishwa rasmi mazima. Kitu ambacho watu wengi hawajui ni kwamba Trump yuko radhi kwa lolote isipokuwa kufanyiwa tena hizo figisu na hila.

Kimsingi, Trump yuko huru 100%. Ni kana kwamba kwa kuukwaa urais, tayari amejisamehe mwenyewe. Katika siku zijazo tutegemee timu matata ya upande wa utetezi kubatilisha kesi moja baada ya nyingine.

Ni mwendo wa kucheza na vifungu vya sheria tu. Hakuna nukta hata moja itakayoachwa, ilimradi tu Trump apumue dhidi ya mahasimu wake wenye chuki, husda na kinyongo.

Au haiwezekani? Trump amejinasibu kwenda na nguvu ya umma. Na katika hilo amefanikiwa mno. Ndiyo maana akaruhusiwa kuendelea na kampeni za urais licha ya kesi zake kufikia hatua ya mwisho muhimu vile.

Kama umma uliweza kumlinda wakati ule akiwa si chochote, ni mara ngapi zaidi watamkingia kifua sasa?

Ikumbukwe kwamba raia wengi waliompigia kura hawaamini kama Trump ni mkosaji kama inavyodaiwa, bali wanajua ni njama za kumpoka urais na hatimiaye kulididimiza taifa. Kwa sasa Democrats ndio wamegeuka maadui wa umma.
Kesi ya Jack Smith, ile ya Justice Department, haitoendelea tena.

Merrick Garland [AG] kamwambia Jack Smith kwamba aanze mchakato wa kuimaliza/ kuifuta.

Kesi ya Fulton County, Atlanta na yenyewe inaenda kutupuliwa mbali.
 
Donald Trump (78) ndiye rais mteule wa Marekani baada ya kuibuka mshindi kwenye uchaguzi ulifanyika Jumanne ya Novemba 5 mwaka huu nchini humo

Kabla ya ushindi wake mwamba huyo Trump alikuwa akikabiliwa na kesi mbili tofauti awali alifikishwa mahakani kwa kosa la kutumia ofisi ya Serikali vibaya alipokuwa Ikulu ya nchi hiyo

Baadaye akafikishwa tena mahakamini na kusomewa shitaka la kunyanyasa wanawake kingono

Sasa je akishaapishwa Januari mwakani kuwa rais rasmi wa nchi hiyo tajiri duniani kesi hizo zitaendelea au zitasimama kwanza mpaka amaliza kipindi chake cha uongozi?

Na kama kesi hizo zitaendelea akiwa rais wa nchi akitakiwa kwenda mahakamani atahudhuria huko kwa Pilato?

Mnaojua katiba vizuri ya USA na sheria na siasa za nchi hiyo naomba mnijuze na kunisaidia kujibu mawasli yangu hayo tafadhali

Comasava
Trump ni Pdidy mzungu
 
Huenda Trump alipambania sana kiti cha urais ili aepukane na kesi hizo, angalau kwa kipindi cha urais.
Hapana, mkuu. Jiulize kati ya kesi na urais, kipi kilitangulia? Trump alifunguliwa mashtaka kwa sababu wahasimu wake waliona ndiyo njia pekee ya kuzuia harakati zake za urais.

Kwa nini kesi hizo zikaletwa kipindi cha urais na wala si kabla? Ndiyo maana mimi hao jamaa sitaki kabisa kusikiliza habari zao. Walikuwa wapi siku zote, kama si ufukunyuku butu?

Si ajabu Trump anaendelea kuwagaragaza tu siku zote. Tena aendelee kushikilia hapohapo hadi wajute. Naweza kusema kwamba wapinzani ndio wamemsaidia Trump kushinda kwa kishindo awamu hii.
 
Back
Top Bottom