Baada ya Dotto kupeleka Mzigo Dubai na Kulwa nae kufanya hivyo Wiki ijayo

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Mkiambiwa hawa Wawili ni Ndugu, wako Kimkakati zaidi na lazima Wote waigane na Wao ndiyo wanatengeneza Mamlaka na wana Nguvu na Ushawishi hata kuliko akina CCM na CHADEMA muwe mnaelewa.

Kila la Kheri wale mtakaosafiri kwenda Dubai kuweka Kambi Wiki hii Kujiandaa na Majukumu mengine ya Kimataifa ambayo bado hamjayazoea ila bado mnajifunza kwa Dotto.
 
Hasa ukiwa ni Masikini wa Akili huwezi kamwe Kuelewa Jambo ambalo wenye Akili Kubwa haraka mno Wameshalielewa.
Kwahyo kuongea ngonjera hizo ndio kua na akili kubwa. Nenda kule kwa great thinkers basi uandike nakala zako.
Huku ni mchanganyiko alafu unaandika taarbu hapa.
 
Niyeye wewe fuatilia uandishi mstari Kwa mstari utagundua
 
Watu wanaowacjululiaga hawa serious wanashangazaga sana.
 
Genta katika ubora wako. Nakukubali Mzee za ndani kabisa.
Unaingizwa kingi nawe unakubali. Yaani timu imetoka kucheza mechi tarehe 4 ba tarehe 12 inatakiwa icheze mechi ya kimataifa. Huo muda wa kuweka kambi Dubai anautolea wapi?
 
Unaingizwa kingi nawe unakubali. Yaani timu imetoka kucheza mechi tarehe 4 ba tarehe 12 inatakiwa icheze mechi ya kimataifa. Huo muda wa kuweka kambi Dubai anautolea wapi?
hersi alisema yanga wataenda dubai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…