Mwananzuoni
JF-Expert Member
- Apr 22, 2009
- 290
- 69
Rais yupi ? huyu mzee wa Bagamoyo,Siwezi amini hayo maneno, labda huyu aliyeleta hii thread kayatunga au gazeti limetunga, kwa watu wenye kufikiri hawwawezi amni eti raisi asaini kitu ambacho hata hajakipitia, am sure there's something wrong somewhere----------the source is not guaranteed
ni kweli ndugu zangu wana janvi mkuu amechukia sana juu ya taarifa hii na amejua kuwa kuna vipengele vimeingizwa humo ambavyo bunge halikujadili.
kila mtu amekabna kuhusika, amechukia kupita maelezo. jana jion alisema hivi '' naona kuna watu wanataka kunigeuza kama chapati kwenye kikaango'' ikiwa hivi wanafanya vile. sasa tutashughulikiana.
vijana wake watiifu wapewa kazi ya kufatilia na kujua nania amedumbukiza vipengele hivyo huko ndani
ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firauni bin Bagamoyo.....endeleeni kushangaa.i cant believe this rumor, yaani kama ni kweli basi bongo hatuna raisi, aliwezaje kusaini doc ambayo hajaisoma, kama ni hivo basi hiyo doc irudishwe na kusainiwa upya, make sasa itatumikaje wakati ni doc haramu--------hiyo sio sheria tena.
hakika ni batili, lakini je mkuu wa kaya analakujifunza ?Kila kitu kinachohusu sheria hiyo kilichofanyika baada ya kuisaini , ni batili; hata kanuni ni batili!
Welldone Dr. Slaa!
Jamani nipeni shule. JK ana kosa gani? kweli mnataka rais achukue ORIGINOL (iliyopelekwa bungeni) kisha alinganishe na anaotaka kusaini (mpya)!!! come on naona tunazidi kumlaumu sasa.
Prezidaa ana wasaidizi kibao wa kuweza kufanya kazi hiyo.
Mnyonge mnyongeeni ila haki yake mpeni
wadau mimi nilikuwa sijasoma gazeti la Tanzania Daima, kweli hii ishu imetokea, lakini sioni kama kweli raisi alikuwa halijui hili, maana yake ni kwamba yeye hajui kama kwenye bunge hicho kipengele hakikujadiliwa so asingeweza just from no where agundue hilo, kwa mantiki hii mimi namtetea Mr. President, has got nothing wrong done, waliofanya vibaya ni waale kwa makusudi yao binafsi wamepindisha ukweli wa kipengele chenyewe
Jamani nipeni shule. JK ana kosa gani? kweli mnataka rais achukue ORIGINOL (iliyopelekwa bungeni) kisha alinganishe na anaotaka kusaini (mpya)!!! come on naona tunazidi kumlaumu sasa.
Prezidaa ana wasaidizi kibao wa kuweza kufanya kazi hiyo.
Mnyonge mnyongeeni ila haki yake mpeni
Ikiwa Muungwana anapelekewa document bila kusona na anaanguka mkono iko siku atapelekewa document ya kuuzwa kwa nchiyake na akaanguka huku akitabasamu....
Atafura na kufurika lakini hakuna hatua yoyote ile itakayochukuliwa hiyo ni DANGANYA TOTO TU!
This is a very serious issue... Hii sio issue ya umakini, ni issue ya uadilifu... ni nani alichomekea? Kwanini alichomekea? Je sheria ngapi ziliopitishwa na Bunge zimefanyiwa mchezo huu? Nchi nyingine... Mwanasheria mkuu angewajibika na wngine wengi kwenye ofisi yake. Haitoshi kuomba msamaha na kuirudisha sheria Bungeni... Rais angekua ashaitolea tamko... Kikwete government is treating us with no due respect... labda kwasababu haogopi ku loose election tena... eti ni mteule wa Sheikh Yahya na Askofu Kilaini... tutamfanya nini? Nonsense! This is where Tanzanians have made a blunder that 'll dearly cost us for years to come... Mungu ibariki (isamehe) Tanzania!Kama umakini umekosekana kwa jambo dogo kama hili basi ile mikataba yenye page kibao inakuaje?? Hii ndio Tanzania yetu wote na Heko Dr. Slaa