Baada ya Emirates JNIA leo limetua Qantas KIA

Wewe unakuwanga kama wazimu. Kila post unakuwanga pili ama watatu halafu kazi ni kusema hurah JPM, hurah Tanzania yangu. Kwani huwezi sema kitu kingine

Umeanza kuleta story za your fellow bricks and mortar engineer.

Why not to celebrate for good things that happen in my country?
Kama hujithamini nani atakuthamini?
Kama hujipendi nani atakupenda?
Kama hujiamini nani atakuamini?
It begins with you.
 
Wanaenda kujenga kiwanja chato badala ya kuboresha viwanja muhimu wa uchumi. Halfu unaniambia uzalendo kwanza
 
Ni sawa kwa maoni YAKO. Lkn UKWELI ni KUWA NCHI haikuwahi KUWA NA ndege YAKE HATA ya watu 10 kwa takribani miaka 25. SASA tumeona ndege nzuri zimewasili, kwa NINI tusishangilie??
Punguza chumvi mzee...miaka 11 iliyopita tu kulikuwa na Boeing 737 - 200 yenye uwezo wa kubeba abiria 100 ambapo moja ilipata ajali ipo Mwanza ime-park
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…