Baada ya Emirates JNIA leo limetua Qantas KIA

Sasa ushasema feedr we makalio izo walitakiwa wamiliki Fast jet na sio national carrier kama Wings of Kilimanjaro....
Hapa tunaongelea A NATIONAL CARRIER muthafucker!
Usiniquote usen.ge tena
acha hasira πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ to buy 7 aircraft kwa mpigo is not a joke sio zenu za kq mumekodisha kwa makampuni mengine na zingine ziliwashinda mukaanza kurudisha kwa wenyewe
 
Wanaenda kujenga kiwanja chato badala ya kuboresha viwanja muhimu wa uchumi. Halfu unaniambia uzalendo kwanza
ww unajua kiwanja cha chato kina faida gani kiuchumi??? uliza ujibiwe uelewe sio kuropoka tu

chato airport itachagia faida mbili kubwa
1) itafungua zaidi northern circuit tourism
2) itatumika pia kwenye transportation of minerals and fish
 
Boing 747 ya British Airways inatua kila siku hapo Jomo Kenyatta Nairobi.
kutua sio tatizo hapa tunaangazia watalii inagine wametoka australia direct flight mpaka kilimanjaro na watakaa siku tatu hebu imagine πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Aliye kupiga Ban Mungu ampe Maisha marefu
 
Picture ipo kwenye layout ya collage sio picture moja hiyo
Hawa jamaa itakuwa ni wageni jf siunajua baada ya magu kushambulia jf wengi walio kuwa fb na Instagram wakapata mshauku wa kujua jf kuna nini ?? wakaanza kujiunga kama mvua .some time magu ana saidia kubusti jf
 

MKULU nyakati zingine uwe unaangalia aina ya mtu wa kufanya naye mjadala. SASA hiyo AKILI ya KUTOKA kwa dada wa taifa lao la kusadikika la Insta itaelewa KWELI hizo point unazotoa? Wenyewe wamezoea matusi tu hawana walijualo.
 

Tena utuache
utuache kabisaaa

Tuwanyooshe hawa wa KUTOKA taifa la kusadikika la Insta kwa dada yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…