Boing 747 ya British Airways inatua kila siku hapo Jomo Kenyatta Nairobi.View attachment 759475
Ndege ya QANTAS imetua KIA leo kutoka Australia ikiwa na wageni 310 ambao watakuwa Serengeti kwa siku tatu. [HASHTAG]#TanzaniaUnforgettable[/HASHTAG] #HK [HASHTAG]#VisitTanzania[/HASHTAG]