Baada ya game atimliwa vaa pichu uende! makubwaa!



Huyo jamaa anaweza kuuwa mtu ni mtu hatari sana hana ubinadamu,,,,,,,ladies be careful !!!!!
 
Hujui rules Osokoni?
Tumekatazwa kuzungumzia ndoa mpaka ipite Miaka mi3 ya uchumba sugu.

ha ha haaaa inayoambatana na haki zote za kindoa kasoro kukufukuza kabla hujaoga!!!!!!!
 
Nimepigwa Ban ya miezi mitatu baada ya kutoa maoni yangu binafsi kwamba hawa modeators wenye elimu ndogo hawawezi kuongoza elimu kubwa, yaani mhitimu wa kidato cha sita hawezi kuhariri maoni ya watu wenye phd humu ndani, masters au degree.

Mara nyingi watu wanapigwa ban kwasababu za kipuuzi, ID yangu ya MCHUNGUZI HURU iliyoonganishwa na ya SUPU YA MAWE zimepigwa ban ya mwaka mmoja kwa kosa la kuuliza mishahara ya moderators. KOSA LANGU NILIPI?

Hawa moderators waakili ndogo sana, na akili yangu ni kubwa ndiomaana mara zote tumekuwa hatuelewani. Wengi hamuwapendi hawa moderators ila kwakuwa watanzania ni waoga ndiomaana hamtaki kusema ukweli. siogopi ban as long as nasimamia haki.

Baada ya kuhoji uwepo wa moderators wenye elimu ndogo wanaorekebisha watu wenye elimu kubwa na mawazo makubwa ambayo kidato cha sita hawayajui nikapigwa ban, moderator huyo mwenye elimu ya kidato cha sita hajatoa sababau ya msingi ya mimi kupigwa ban ila nimeandikiwa hivi

''You have been banned for the following reason:
Huwezi ukatuendesha ama kupanga utakacho wewe ndicho kiwe Kigezo cha kufanya kazi! Pumzika!

Date the ban will be lifted: 19th August 2014''

Moderator huyo mwenye elimu ya kidato cha sita hajaniambia kosa langu ni lipi ila ametoa maneno ambayo yanaonyesha kwamba hawataki kukosolewa.

MODERATORS WA JAMIIFORUMS WAKAONGEZE ELIMU.
 
Mwanaume bastola la maana eti, hata kama huna hela na bastola la maana unalo unajua kujaza risasi na kuvuta trigger vizuri mbona kazi unayo!!! Ma x kila kukicha wanakutafuta!!!!
 
Eti kubwa la maadui lara 1, for the record....iyo Kantangazeee ndo nini hapo?
 
Last edited by a moderator:
Waarabu wa pemba wanajuana kwa vilemba hao...chombo kimepata suka hapo ni on & off hadi kufa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…