Ennie
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 7,137
- 4,134
hahahaha hata wewe ungefanyaje?? tumia fursa.......
Osokoni katisha!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahaha hata wewe ungefanyaje?? tumia fursa.......
Namasteeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!
Mweneznu hapa nipo hoi kwa chekooo! Mbavu zaniumaje sasa! Nimepewa yanayojiri bongo sinammbavu mie!
Kuna ndugu yangu mmoja, ana on and off bf ambae nilisoma nae mie, kaenda age kidogo ila bado hajatoka kimaisha wala nini. Mwanaume hana hela ila ana balls balaaa! Ananiendesha mpaka mie kubwa la maadui shemeji yake! Ana niboss around na ugaidi wangu wote! Unaweza kujibu kwa nyodo NOO! Akakutizama usoni na kuuliza Why? Na utafanya nakwambia kuepusha shari!
Kuna siku alitutoa akanilipisha bili sina hamu nae! Nilinunaaa kama cobraaaaa! Na nililipa mbona! Nilijuuuta kumfahamu! Sasa huyu mtu tunamuita Osokoni kwa mambo yake, na huyo ndugu yangu sielewi anampenda au hampendi ila mara nyingi akimuacha anamganda kama luba warudiane!
Sasa hapo kati waliachana na osokoni, akapata kibwana insurance brooker, comission kibao, akampotezea osokoni, osokoni hakutaka kushindwa easly aliput a fight si kidogo, kungekuwa na court of appeal ya mapenz angeenda ku appeal! Ila ikafika mahala akaamua kukaa pembeni! Na Fyi Osokoni haongi senti tano kipande! Utafaidi shower ya hoteli tu! Kantangazeeee! Na kuku ulizokula labda!
Sasa mambo hayakwenda alivotaka, akaachana na brooker, akawa idle, badae akajirudisha kwa Osokoni. Osokoni alichomfanya anajuuuta kumfahamu! Akamwambia Osokoni wakutane waongee, akakubali akamwambia wakutane hoteli, room wajadiliane na kama kusameheana wasameheane!
Loooooh! Lahaula lakwata! Kufika room, kmkuta Osokoni kama alivozaliwa, kamdaka juu juu! Game on! Akajua karahisishiwa sentiments za kujieleza na kumlamba miguu! Raund 4 waambiwa! Akajua soo limeisha, ukurasa mpya! Mhhhhhhhh! Game lilivoisha kabla hata hajaoga, akatimliwa kama mbwa! Hahahahahahaaaaaaaa! Its not a laughing matter! Vaa pichu uende fatsaa! Osokoni bwana! Hahahaaa! Akajua utani, mwenzie yupo serious, alivoona anangaa sharubu akamtupia pochi nje! Ndo kutoka kwa aibu! Hahahahahaaaaaaa! Kajipangusa makalio kwa aibu huyooooo kapitoa walk of shame of all times! Hahahaaaaa! I insist its not a laughing matter and im ashamed of my self for laughing sensitive matter like this!
Waambiwa Osokoni alirudi kuoga, kawasha mziki kalala fofofoooooooo! Najuuuuuuuuuta! Kumfahamu! Hapa nangojewa nirudi nitulie nitoe tamko, wanasubiri wa Yuda tutoe jibu tumfanyaje mtu huyu Osokoni! Ila wanawake muwe makini na ma X! Aaaaaaaah! Mjini kuna mambo kijijini sirudi ng'oooooo!
Nipe basi nafasi uwe Mrs Osokoni!!!!!!!!Hebu nione kamba uliyofungwa mguuni,katani au manila?
Nipe basi nafasi uwe Mrs Osokoni!!!!!!!!
Hujui rules Osokoni?
Tumekatazwa kuzungumzia ndoa mpaka ipite Miaka mi3 ya uchumba sugu.
ha ha haaaa inayoambatana na haki zote za kindoa kasoro kukufukuza kabla hujaoga!!!!!!!
Hapa sasa unaongea!
Are you as good as he is????????
It is for me to perform, you to tell your friend and for her to report here!!!!!!😛hone:
Osokoni anaitumia fursa ipasavyo!!
ndio hivyo mnatulazimisha tuwe mabazazi
Mmeshikiwa mtutu?
tumewahi jadili in the past why victim of abuse always return to their abusers....nafikiri unaikumbuka...that was the point
ndio wa vishawishi hasa kwenye vivazi
punda haendi bila fimbo....wapo wanawake for gentlemen na wapo ambao ni punda bila fimbo hawaendi ole wako wewe gentleman uoe huyo..