Baada ya game atimliwa vaa pichu uende! makubwaa!

Baada ya game atimliwa vaa pichu uende! makubwaa!

sio tu gama na kuwa abusive pia..wanawake wengi ni 'mandondocha' wa wanaume abusive na wanaopiga game vizuri...huyo msichana hata aolewe na nani huyo jamaa atajipigia tu daily...
. And this is the SADDEST TRUTH of all times!!
 
OSOKONI mpiga show !!!
OSOKONI abusive
OSOKONI osokoni osokoni duuuuuu aise we OSOKONI ni nomaaaaaaa...!!
 
Distinguished Osokoni is there to stay. Na wasipoangalia ataishia kumuoa. Chezea penzi wewe. Hata mtu urukeruke vipi kuna mahali utafika tu. Ni suala la muda na mazingira.
 
Back
Top Bottom