Baada ya game za leo za CAF champions league msimamo wa kundi la letu ukoje ?

Baada ya game za leo za CAF champions league msimamo wa kundi la letu ukoje ?

Ni vema tukisema Simba ni ya 4 , tusiseme ni ya mwisho
 
Tatizo wivu mkuu, yaan huwa kuna watanzania wanaungana na nchi jirani kuiombea simba mabaya.
Wanakera sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mpira mkuu,hiyo ni club sio timu ya taifa mtu anashangilia anachopenda..ndio maana siku mnacheza na Al ahly mashabik wa zamalek walikuwa kwenu...

Usikereke Sana utapata presha ufe mapema kabla ya mechi ya mwisho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe jamaa uyanga umekutia ukipofu mno, embu kuwa mtu mzima acha ukindoki.
.
Simba anamaliza nyumbani ana 80% za kushinda anafikisha 9 al ahly atafikisha kumi sasa soura na vita watapita kwa njia gani
Calm down, take a deep breathe, drink water moyo uelee
Usinipangie cha kucomment
 
Simba dk ya kwanza Mpaka ya mwisho walikosa maelewano yan walizidiwa Sana ilikuwa ni kubutua tu
 
Kila timu imebakiwa na must win game ili ifuzu. Kundi la aina yake.

Timu ambazo zitakuwa away, zina point moja zaidi ya mwenyeji. Zinaweza kuwa tempted kutafuta draw.

Timu wenyewe hazina njia nyingine zaidi ya kushambulia kutafuta ushindi. In the process, zinaweza kuwa exposed na kufungwa kwenye counter attack.

Mbinu za makocha zitaamua matokeo.
 

Attachments

  • IMG_20190310_100522.png
    IMG_20190310_100522.png
    32.7 KB · Views: 14
Back
Top Bottom