Mapensho star
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,052
- 4,104
Hapa Hatari zaidikitakachofuata ni hainaga umama mkwe.
mbona ya kawaida tu niliipakua nikadelete hapo hapo sijui kwakohebu google mbona kuna ngoma kaachia yuko na shilole
na kibaka je?mbona ya kawaida tu niliipakua nikadelete hapo hapo sijui kwako
Nakubaliana na wewe kuhusu jamaa kuwa a one hit wonder,ila hilo la kuwa. A passing fad naweka akiba ya maneno maana naona kama ni a 50/50 chance,nahisi inategemeana na upepo utakapaolekeaSingeli is a passing fad.
Man Fongo is a one hit wonder.
Bookmark this post.
mtoa post embu sikia hii ngoma hapa then ukimaliza futa post yako. kibaka .
maskio yako yana makengeza bas.Huo nao ni muziki?
Nasikia sauti za makopo tu.