Baada ya hapa wataanza omba wapewe na shanga zao.

Baada ya hapa wataanza omba wapewe na shanga zao.

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Unakuta kabisa mtoto wa kiume anasema apewe maua yake.. unashangaa.... Unaaangalia unasema hiiiiiiii.... Mtoto wa kiume anaomba apewe maua?

Siku zijazo si atasema apewe na shanga kabisa? Sisi wakati tunakua ndo tulikuwa wanawake tunawapa maua. Siku hizi mtoto wa jinsia me anataka apewe maua kama pongezi. Tutafika kweli?
 
Unakuta kabisa mtoto wa kiume anasema apewe maua yake.. unashangaa.... Unaaangalia unasema hiiiiiiii.... Mtoto wa kiume anaomba apewe maua?

Siku zijazo si atasema apewe na shanga kabisa? Sisi wakati tunakua ndo tulikuwa wanawake tunawapa maua. Siku hizi mtoto wa jinsia me anataka apewe maua kama pongezi. Tutafika kweli?
Serikali iruhusu umiliki wa silaha ili ukikutana na wa hivyo umlambe ya kichwa.
 
Wabongo kwa kutumia akili nyingi katika vitu vya kijinga tupo vizuri.

Same energy itumike katika kutatua changamoto zetu. Ila unfortunately kwenye mambo muhimu tunatumia akili kidogo au hatutumii kabisa.
 
Unakuta kabisa mtoto wa kiume anasema apewe maua yake.. unashangaa.... Unaaangalia unasema hiiiiiiii.... Mtoto wa kiume anaomba apewe maua?

Siku zijazo si atasema apewe na shanga kabisa? Sisi wakati tunakua ndo tulikuwa wanawake tunawapa maua. Siku hizi mtoto wa jinsia me anataka apewe maua kama pongezi. Tutafika kweli?
Maua ni zawadi ya heshima. Majina yana athari kubwa
1684096680005.png


1684096759811.png


1684097014820.png


1684097325426.png
 
Unakuta kabisa mtoto wa kiume anasema apewe maua yake.. unashangaa.... Unaaangalia unasema hiiiiiiii.... Mtoto wa kiume anaomba apewe maua?

Siku zijazo si atasema apewe na shanga kabisa? Sisi wakati tunakua ndo tulikuwa wanawake tunawapa maua. Siku hizi mtoto wa jinsia me anataka apewe maua kama pongezi. Tutafika kweli?
Huo usemi wewe ndo unauchkulia hivyo , na siku zote kimtokacho mtu ndicho kilichoujaza moyo wake...wewe inaonekana unawaza sana uchoko . Mtu anaposema nipeni mama yangu au umpeni maua yake n kwamba mpeni sifa zake ....vitu zingine sio lazma uanzishe uzi tumia busara mkuu.
 
Out of topic "kuna nyimbo kaimba sijui daimondi Ile anawambia masela wanyanyue tisheti aone Boxa,nikasema hata kama ni liriksi wat the f*ck
 
Out of topic "kuna nyimbo kaimba sijui daimondi Ile anawambia masela wanyanyue tisheti aone Boxa,nikasema hata kama ni liriksi wat the f*ck
Ndo mwendelezo wa upuuzi huo huo. Zamani sisi tunakua ilikuwa ngumu kusikia watu wanaimba nyimbo za hovyo kama hizi.
 
Back
Top Bottom