Baada ya hii mikutano ya siasa tutapiga kura wapi?

Baada ya hii mikutano ya siasa tutapiga kura wapi?

Matango

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2011
Posts
535
Reaction score
118
Wakuu habari za leo,

Naomba radhi kwa watakaoelewa tofauti na nilivyoelewa mimi. Niwashirikishe katika maswali niliyoulizwa na Babu mmoja jana kwenye kituo cha daladala ambacho kina pilikapilika nyingi za biashara kwenye jiji la kiuchumi la DSM.

Nilifika kwenye meza yake ya biashara ya matunda kutaka kupata huduma nikakuta mjadala siyo mkali lakini mzito wenyewe wanaongea taratibu kama vile hawataki mtu mwingine awasikie.

Nilipofika mimi nikajaribu kuchangia, walikuwa wanaongelea mikutano ya vyama vya siasa. Nikamwambia yule Babu kwani kuna tatizo? Mbona mikutano imeruhusiwa na imeshaanza?

Hapo nikachokoza Mzinga wa nyuki au sijui Bomu la Ukraine. Yule Babu akapiga swali moja mzinga kuelekea kwangu, Akasema:, "Sikiliza Bwanamdogo, mimi hapa nafungua biashara yangu na hata huyu bibi hapa unayemuona anauza chakula, mimi nafungua kila siku saa 9 alasiri, huyu bibi anakuja saa 12 jioni, tunafanya hizi biashara mpaka saa 6 usiku na wateja wapo kwa wingi tu.

Sasa nakuuliza wewe unayeshabikia mikutano ya hadhara, mkienda kule kwenye mikutano kuanzia sijui saa ngapi... hadi saa 12 jioni inafungwa, mnapata kitu gani ? kama hujafanyakazi mchana ukaacha chochote kitu nyumbani, hiyo familia yako ukirudi unawaletea nini?

Au mimi nikiacha hiyo siku biashara yangu nikaenda kusikiliza hizo hotuba nitapata nini? Ninavyokumbuka siku za nyuma wakimaliza mikutano ya hadhara tunaambiwa kesho ni siku ya kupiga kura. Sasa safari hii wakimaliza hiyo mikutano yao ya mfululizo, tunaenda kupiga kura wapi?.

Nikamwambia Babu ! Babu ! Una maswali magumu ? Tuwaachie wenye siasa zao. Nipatie tu mzigo wangu wa embe nipeleke nyumbani kwa watoto.
 
Wakuu habari za leo,

Naomba radhi kwa watakaoelewa tofauti na nilivyoelewa mimi. Niwashirikishe katika maswali niliyoulizwa na Babu mmoja jana kwenye kituo cha daladala ambacho kina pilikapilika nyingi za biashara kwenye jiji la kiuchumi la DSM.

Nilifika kwenye meza yake ya biashara ya matunda kutaka kupata huduma nikakuta mjadala siyo mkali lakini mzito wenyewe wanaongea taratibu kama vile hawataki mtu mwingine awasikie.

Nilipofika mimi nikajaribu kuchangia, walikuwa wanaongelea mikutano ya vyama vya siasa. Nikamwambia yule Babu kwani kuna tatizo? Mbona mikutano imeruhusiwa na imeshaanza?

Hapo nikachokoza Mzinga wa nyuki au sijui Bomu la Ukraine. Yule Babu akapiga swali moja mzinga kuelekea kwangu, Akasema:, "Sikiliza Bwanamdogo, mimi hapa nafungua biashara yangu na hata huyu bibi hapa unayemuona anauza chakula, mimi nafungua kila siku saa 9 alasiri, huyu bibi anakuja saa 12 jioni, tunafanya hizi biashara mpaka saa 6 usiku na wateja wapo kwa wingi tu.

Sasa nakuuliza wewe unayeshabikia mikutano ya hadhara, mkienda kule kwenye mikutano kuanzia sijui saa ngapi... hadi saa 12 jioni inafungwa, mnapata kitu gani ? kama hujafanyakazi mchana ukaacha chochote kitu nyumbani, hiyo familia yako ukirudi unawaletea nini?

Au mimi nikiacha hiyo siku biashara yangu nikaenda kusikiliza hizo hotuba nitapata nini? Ninavyokumbuka siku za nyuma wakimaliza mikutano ya hadhara tunaambiwa kesho ni siku ya kupiga kura. Sasa safari hii wakimaliza hiyo mikutano yao ya mfululizo, tunaenda kupiga kura wapi?.

Nikamwambia Babu ! Babu ! Una maswali magumu ? Tuwaachie wenye siasa zao. Nipatie tu mzigo wangu wa embe nipeleke nyumbani kwa watoto.
Tutapiga kura vichwani mwetu🤔
 
Wakuu habari za leo,

Naomba radhi kwa watakaoelewa tofauti na nilivyoelewa mimi. Niwashirikishe katika maswali niliyoulizwa na Babu mmoja jana kwenye kituo cha daladala ambacho kina pilikapilika nyingi za biashara kwenye jiji la kiuchumi la DSM.

Nilifika kwenye meza yake ya biashara ya matunda kutaka kupata huduma nikakuta mjadala siyo mkali lakini mzito wenyewe wanaongea taratibu kama vile hawataki mtu mwingine awasikie.

Nilipofika mimi nikajaribu kuchangia, walikuwa wanaongelea mikutano ya vyama vya siasa. Nikamwambia yule Babu kwani kuna tatizo? Mbona mikutano imeruhusiwa na imeshaanza?

Hapo nikachokoza Mzinga wa nyuki au sijui Bomu la Ukraine. Yule Babu akapiga swali moja mzinga kuelekea kwangu, Akasema:, "Sikiliza Bwanamdogo, mimi hapa nafungua biashara yangu na hata huyu bibi hapa unayemuona anauza chakula, mimi nafungua kila siku saa 9 alasiri, huyu bibi anakuja saa 12 jioni, tunafanya hizi biashara mpaka saa 6 usiku na wateja wapo kwa wingi tu.

Sasa nakuuliza wewe unayeshabikia mikutano ya hadhara, mkienda kule kwenye mikutano kuanzia sijui saa ngapi... hadi saa 12 jioni inafungwa, mnapata kitu gani ? kama hujafanyakazi mchana ukaacha chochote kitu nyumbani, hiyo familia yako ukirudi unawaletea nini?

Au mimi nikiacha hiyo siku biashara yangu nikaenda kusikiliza hizo hotuba nitapata nini? Ninavyokumbuka siku za nyuma wakimaliza mikutano ya hadhara tunaambiwa kesho ni siku ya kupiga kura. Sasa safari hii wakimaliza hiyo mikutano yao ya mfululizo, tunaenda kupiga kura wapi?.

Nikamwambia Babu ! Babu ! Una maswali magumu ? Tuwaachie wenye siasa zao. Nipatie tu mzigo wangu wa embe nipeleke nyumbani kwa watoto.
Mwambie kura tutapiga vichwani wetu baada ya hiyo mikutano😂
 
Sasa hivi tumewaruhusu waongee, tuchukue hoja zao, tutaagiza meli kumi za maharage, mchele, mahindi, tunazitupa mtaani, bei zote chini, hoja zinakufa.

Umeme, tunajenga kinyerezi 4, Rusumo itakuwa tayari, na mwalimu Nyerere Hydro Power Project, hoja ya umeme inakufa.

Yaani watachekechwa hivyohivyo.

Karibia uchaguzi, tunatupia ongezeko la mshahara na ajira mpya....miksa nyimbo za iyena iyeeeena...iyeeeena....iyeena, CCM nambari Wani, mbona mboga itakolea chumvi!!!! Dj, weka maneno!!!
 
Sasa hivi tumewaruhusu waongee, tuchukue hoja zao, tutaagiza meli kumi za maharage, mchele, mahindi, tunazitupa mtaani, bei zote chini, hoja zinakufa.

Umeme, tunajenga kinyerezi 4, Rusumo itakuwa tayari, na mwalimu Nyerere Hydro Power Project, hoja ya umeme inakufa.

Yaani watachekechwa hivyohivyo.

Karibia uchaguzi, tunatupia ongezeko la mshahara na ajira mpya....miksa nyimbo za iyena iyeeeena...iyeeeena....iyeena, CCM nambari Wani, mbona mboga itakolea chumvi!!!! Dj, weka maneno!!!
Kura tunapigia kwa mukichwa😂.Mabox sasa baadhi🤔
 
Wakuu habari za leo,

Naomba radhi kwa watakaoelewa tofauti na nilivyoelewa mimi. Niwashirikishe katika maswali niliyoulizwa na Babu mmoja jana kwenye kituo cha daladala ambacho kina pilikapilika nyingi za biashara kwenye jiji la kiuchumi la DSM.

Nilifika kwenye meza yake ya biashara ya matunda kutaka kupata huduma nikakuta mjadala siyo mkali lakini mzito wenyewe wanaongea taratibu kama vile hawataki mtu mwingine awasikie.

Nilipofika mimi nikajaribu kuchangia, walikuwa wanaongelea mikutano ya vyama vya siasa. Nikamwambia yule Babu kwani kuna tatizo? Mbona mikutano imeruhusiwa na imeshaanza?

Hapo nikachokoza Mzinga wa nyuki au sijui Bomu la Ukraine. Yule Babu akapiga swali moja mzinga kuelekea kwangu, Akasema:, "Sikiliza Bwanamdogo, mimi hapa nafungua biashara yangu na hata huyu bibi hapa unayemuona anauza chakula, mimi nafungua kila siku saa 9 alasiri, huyu bibi anakuja saa 12 jioni, tunafanya hizi biashara mpaka saa 6 usiku na wateja wapo kwa wingi tu.

Sasa nakuuliza wewe unayeshabikia mikutano ya hadhara, mkienda kule kwenye mikutano kuanzia sijui saa ngapi... hadi saa 12 jioni inafungwa, mnapata kitu gani ? kama hujafanyakazi mchana ukaacha chochote kitu nyumbani, hiyo familia yako ukirudi unawaletea nini?

Au mimi nikiacha hiyo siku biashara yangu nikaenda kusikiliza hizo hotuba nitapata nini? Ninavyokumbuka siku za nyuma wakimaliza mikutano ya hadhara tunaambiwa kesho ni siku ya kupiga kura. Sasa safari hii wakimaliza hiyo mikutano yao ya mfululizo, tunaenda kupiga kura wapi?.

Nikamwambia Babu ! Babu ! Una maswali magumu ? Tuwaachie wenye siasa zao. Nipatie tu mzigo wangu wa embe nipeleke nyumbani kwa watoto.
Mkumbushe Babu kuwa,

Atapiga kura ya Maoni kupata KATIBA mpya itokanayo na Rasimu alosimamia Judge WARIOBA muda ukifika.

Nchi inaandika historia ya kuandika KATIBA mpya bila kumwaga Damu.

Serikali ya CCM imemnyima Babu Elimu ya uraia asijue mchakato wa KATIBA kisiasa ndo utamsaidia kupanda kiwango Cha biashara yake Kutoka low level Hadi afungue KAMPUNI yake na kukaa nyumbani akisubiri ripoti.

Aamen
 
Sasa hivi tumewaruhusu waongee, tuchukue hoja zao, tutaagiza meli kumi za maharage, mchele, mahindi, tunazitupa mtaani, bei zote chini, hoja zinakufa.

Umeme, tunajenga kinyerezi 4, Rusumo itakuwa tayari, na mwalimu Nyerere Hydro Power Project, hoja ya umeme inakufa.

Yaani watachekechwa hivyohivyo.

Karibia uchaguzi, tunatupia ongezeko la mshahara na ajira mpya....miksa nyimbo za iyena iyeeeena...iyeeeena....iyeena, CCM nambari Wani, mbona mboga itakolea chumvi!!!! Dj, weka maneno!!!
Uwezo huo hamna,

Miaka 60 ya uhuru mmeshindwa, Leo mtaweza wapi?

Miaka 60 mtu anatakiwa apumzike home.

CCM pia ni muda wa kupumzika, sababu imechoka sana.
 
Wakuu habari za leo,

Naomba radhi kwa watakaoelewa tofauti na nilivyoelewa mimi. Niwashirikishe katika maswali niliyoulizwa na Babu mmoja jana kwenye kituo cha daladala ambacho kina pilikapilika nyingi za biashara kwenye jiji la kiuchumi la DSM.

Nilifika kwenye meza yake ya biashara ya matunda kutaka kupata huduma nikakuta mjadala siyo mkali lakini mzito wenyewe wanaongea taratibu kama vile hawataki mtu mwingine awasikie.

Nilipofika mimi nikajaribu kuchangia, walikuwa wanaongelea mikutano ya vyama vya siasa. Nikamwambia yule Babu kwani kuna tatizo? Mbona mikutano imeruhusiwa na imeshaanza?

Hapo nikachokoza Mzinga wa nyuki au sijui Bomu la Ukraine. Yule Babu akapiga swali moja mzinga kuelekea kwangu, Akasema:, "Sikiliza Bwanamdogo, mimi hapa nafungua biashara yangu na hata huyu bibi hapa unayemuona anauza chakula, mimi nafungua kila siku saa 9 alasiri, huyu bibi anakuja saa 12 jioni, tunafanya hizi biashara mpaka saa 6 usiku na wateja wapo kwa wingi tu.

Sasa nakuuliza wewe unayeshabikia mikutano ya hadhara, mkienda kule kwenye mikutano kuanzia sijui saa ngapi... hadi saa 12 jioni inafungwa, mnapata kitu gani ? kama hujafanyakazi mchana ukaacha chochote kitu nyumbani, hiyo familia yako ukirudi unawaletea nini?

Au mimi nikiacha hiyo siku biashara yangu nikaenda kusikiliza hizo hotuba nitapata nini? Ninavyokumbuka siku za nyuma wakimaliza mikutano ya hadhara tunaambiwa kesho ni siku ya kupiga kura. Sasa safari hii wakimaliza hiyo mikutano yao ya mfululizo, tunaenda kupiga kura wapi?.

Nikamwambia Babu ! Babu ! Una maswali magumu ? Tuwaachie wenye siasa zao. Nipatie tu mzigo wangu wa embe nipeleke nyumbani kwa watoto.

🥹🥹🥹[emoji23][emoji23]SEMA KIMEUMANA
 
babu na uyo bibi umri umeenda how come umri huo kukimbizana na migambo wa jiji,wanakaa mpaka saa sita usiku.huo ni umri wa kulea wajukuu na kula penshen kwenye nchi inayojali wazee.
 
Sio tu hao wanaoenda kwenye hiyo mikutano wengi hawana kazi shughuli za kufanya bali hawana uelewa wa mambo, wengi wapo wapo tu wanaenda kushangaa tu hawana wanachokielewa.
 
Sio tu hao wanaoenda kwenye hiyo mikutano wengi hawana kazi shughuli za kufanya bali hawana uelewa wa mambo, wengi wapo wapo tu wanaenda kushangaa tu hawana wanachokielewa.
Biashara zetu mmeziua kwa kutuletea migambo, bado mnaumia tukienda kwenye mikutano!? Mnawashwa nyie sio bure. Na tutawakuna kwa dodoki manyoya.
 
Mleta mada, bibi na babu wote akili zenu sawa tu.
Yaani ukifanya mkutano wa siasa lazima upige kura?
Ccm kila siku walikuwa wanafanya mikutano nchi nzima, kulikuwa kunakupiga kura?
Elimu
Elimu
Elimu.
 
Biashara zetu mmeziua kwa kutuletea migambo, bado mnaumia tukienda kwenye mikutano!? Mnawashwa nyie sio bure. Na tutawakuna kwa dodoki manyoya.
Unawazungumzia akina nani?
 
Back
Top Bottom