Baada ya hizi games 4 niseme mapema Lionel Ateba sio aina ya straika Simba inamhitaji. Time will tell

Baada ya hizi games 4 niseme mapema Lionel Ateba sio aina ya straika Simba inamhitaji. Time will tell

THE FIRST BORN

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2019
Posts
2,224
Reaction score
4,472
Habari!

Kwa mtu aliemfatilia Jamaa Kwa hizi games zote alizocheza Kwa playing style ya Simba na anavyocheza yeye hafai kabisa na soon mtakuja kukubaliana na Mimi.

Ni Mzito Balaa na anachoka

Lionel Ateba Hana pumzi 30 Minutes ashachoka anahema Kwa shida anaanguka ovyo kama Rasmus Hojlund wa United Kwa wafatiliaji wa soka la Ulaya nahisi wanamfahamu huyu dogo Hana stamina kabisa the same issue Kwa Ateba.

Ateba Juzi Kuna Chance kama Mbili ila Moja ilikua ndio nzuri zaidi ilitokea Mpiran ulipigwa kutokea winga ya kushoto ukakatiza ukaenda zake Attacker wa wa Simbaalikua pale ilikua ni goli la wazi kabisa chance haikutumiwa.. kuangalia nikamuona ATEBA alikua huko chini pemben Kwa beki wa kulia wa Azam ndio anakuja anajikongoja.

Ateba Team inavyokua Ina move haendi nayo ndio kitu kiangalien hasahasa after kama 25 Minutes anakua slow sana.

Time will tell inawezekana nikasakamwa maana Mashabiki wa Bongo hua wanaangalia ukifunga Leo na kesho unapewa Uking.

Ila Kwa Ateba still sio Aina ya Strika Simba wanamhitaji.

Mkwala angeanza na Bahat nzuri ya kufunga Mungemkubali...A man ana nguvu speed na hachokichoki ovyo sema ndio hivo Mambo ya Bongo ataachwa January halaf atabaki ATEBA Na BUDO

GooNight🇵🇹
 
Hivi vyura tarehe 19,tunawatoa kwenye maji tunawaweka kwenye moto...alafu nyie washabiki mnaoshabikia timu inayowakilisha rangi ya mavi mavi njano ya binadamu na kijani mavi ya ndege..akili zenu zinakinyesi ..hamna akili kabisa...ndio maana wachawi wachawi tu
 
Hivi vyura tarehe 19,tunawatoa kwenye maji tunawaweka nchi kavu...alafu nyie washabiki mnaoshabikia timu inayowakilisha rangi ya mavi mavi njano ya binadamu na kijani mavi ya ndege..akili zenu zinakinyesi ..hamna akili kabisa...ndio maana wachawi wachawi tu
Ushakula Cha Nyumbani Mjani.

Asante Kwa Reply.
 
Habari!
Kwa mtu aliemfatilia Jamaa Kwa hizi games zote alizocheza Kwa playing style ya Simba na anavyocheza yeye hafai kabisa na soon mtakuja kukubaliana na Mimi.

Ni Mzito Balaa na anachoka

Lionel Ateba Hana pumzi 30 Minutes ashachoka anahema Kwa shida anaanguka ovyo kama Rasmus Hojlund wa United Kwa wafatiliaji wa soka la Ulaya nahisi wanamfahamu huyu dogo Hana stamina kabisa the same issue Kwa Ateba..

Ateba Juzi Kuna Chance kama Mbili ila Moja ilikua ndio nzuri zaidi ilitokea Mpiran ulipigwa kutokea winga ya kushoto ukakatiza ukaenda zake Attacker wa wa Simbaalikua pale ilikua ni goli la wazi kabisa chance haikutumiwa.. kuangalia nikamuona ATEBA alikua huko chini pemben Kwa beki wa kulia wa Azam ndio anakuja anajikongoja.

Ateba Team inavyokua Ina move haendi nayo ndio kitu kiangalien hasahasa after kama 25 Minutes anakua slow sana.

Time will tell inawezekana nikasakamwa maana Mashabiki wa Bongo hua wanaangalia ukifunga Leo na kesho unapewa Uking.

Ila Kwa Ateba still sio Aina ya Strika Simba wanamhitaji.

Mkwala angeanza na Bahat nzuri ya kufunga Mungemkubali...A man ana nguvu speed na hachokichoki ovyo sema ndio hivo Mambo ya Bongo ataachwa January halaf atabaki ATEBA Na BUDO

GooNight🇵🇹
Subiri mitusi ya Wana wa Lage.
 
Habari!
Kwa mtu aliemfatilia Jamaa Kwa hizi games zote alizocheza Kwa playing style ya Simba na anavyocheza yeye hafai kabisa na soon mtakuja kukubaliana na Mimi.

Ni Mzito Balaa na anachoka

Lionel Ateba Hana pumzi 30 Minutes ashachoka anahema Kwa shida anaanguka ovyo kama Rasmus Hojlund wa United Kwa wafatiliaji wa soka la Ulaya nahisi wanamfahamu huyu dogo Hana stamina kabisa the same issue Kwa Ateba..

Ateba Juzi Kuna Chance kama Mbili ila Moja ilikua ndio nzuri zaidi ilitokea Mpiran ulipigwa kutokea winga ya kushoto ukakatiza ukaenda zake Attacker wa wa Simbaalikua pale ilikua ni goli la wazi kabisa chance haikutumiwa.. kuangalia nikamuona ATEBA alikua huko chini pemben Kwa beki wa kulia wa Azam ndio anakuja anajikongoja.

Ateba Team inavyokua Ina move haendi nayo ndio kitu kiangalien hasahasa after kama 25 Minutes anakua slow sana.

Time will tell inawezekana nikasakamwa maana Mashabiki wa Bongo hua wanaangalia ukifunga Leo na kesho unapewa Uking.

Ila Kwa Ateba still sio Aina ya Strika Simba wanamhitaji.

Mkwala angeanza na Bahat nzuri ya kufunga Mungemkubali...A man ana nguvu speed na hachokichoki ovyo sema ndio hivo Mambo ya Bongo ataachwa January halaf atabaki ATEBA Na BUDO

GooNight🇵🇹
ila jamaa analijua goli. kwa zile chances zake zote mzize asingefunga hata moja 😀
 
Habari!
Kwa mtu aliemfatilia Jamaa Kwa hizi games zote alizocheza Kwa playing style ya Simba na anavyocheza yeye hafai kabisa na soon mtakuja kukubaliana na Mimi.

Ni Mzito Balaa na anachoka

Lionel Ateba Hana pumzi 30 Minutes ashachoka anahema Kwa shida anaanguka ovyo kama Rasmus Hojlund wa United Kwa wafatiliaji wa soka la Ulaya nahisi wanamfahamu huyu dogo Hana stamina kabisa the same issue Kwa Ateba..

Ateba Juzi Kuna Chance kama Mbili ila Moja ilikua ndio nzuri zaidi ilitokea Mpiran ulipigwa kutokea winga ya kushoto ukakatiza ukaenda zake Attacker wa wa Simbaalikua pale ilikua ni goli la wazi kabisa chance haikutumiwa.. kuangalia nikamuona ATEBA alikua huko chini pemben Kwa beki wa kulia wa Azam ndio anakuja anajikongoja.

Ateba Team inavyokua Ina move haendi nayo ndio kitu kiangalien hasahasa after kama 25 Minutes anakua slow sana.

Time will tell inawezekana nikasakamwa maana Mashabiki wa Bongo hua wanaangalia ukifunga Leo na kesho unapewa Uking.

Ila Kwa Ateba still sio Aina ya Strika Simba wanamhitaji.

Mkwala angeanza na Bahat nzuri ya kufunga Mungemkubali...A man ana nguvu speed na hachokichoki ovyo sema ndio hivo Mambo ya Bongo ataachwa January halaf atabaki ATEBA Na BUDO

GooNight🇵🇹
Sawa. Kwa hiyo hana mikimbio? 😀😀😀
 
Hadi sasa bado naamini Mukwala ni striker mzuri, ana nguvu na anaboli control ya kutosha kinachomsumbua ni papara na goli nadhani ni sababu ya pressure ya timu, pia viungo wetu bado hawajafanya vya kutosha kucreate chances kwa striker wetu. Ikiwa Mukwala ataweka utulivu atafunga sana.

Kuhusu Ateba huyu bwana anautulivu sana anapofika golini, hana papara na anajua kujiposition na kuficha mali, kuhusu kuchoka nadhani ni kwa sababu ya kazi anayoifanya, ukimfuatilia kwa makini utaona kuna wakati anakuja cheza kama kiungo kufuata mpira au kukaba nadhani hii ndio sabu hasa mwalimu anamuopt over Mukwala.
 
Hivi vyura tarehe 19,tunawatoa kwenye maji tunawaweka kwenye moto...alafu nyie washabiki mnaoshabikia timu inayowakilisha rangi ya mavi mavi njano ya binadamu na kijani mavi ya ndege..akili zenu zinakinyesi ..hamna akili kabisa...ndio maana wachawi wachawi tu
Umechamba kinomaaa.

Unaishi Tandale nini?
 
Habari!
Kwa mtu aliemfatilia Jamaa Kwa hizi games zote alizocheza Kwa playing style ya Simba na anavyocheza yeye hafai kabisa na soon mtakuja kukubaliana na Mimi.

Ni Mzito Balaa na anachoka

Lionel Ateba Hana pumzi 30 Minutes ashachoka anahema Kwa shida anaanguka ovyo kama Rasmus Hojlund wa United Kwa wafatiliaji wa soka la Ulaya nahisi wanamfahamu huyu dogo Hana stamina kabisa the same issue Kwa Ateba..

Ateba Juzi Kuna Chance kama Mbili ila Moja ilikua ndio nzuri zaidi ilitokea Mpiran ulipigwa kutokea winga ya kushoto ukakatiza ukaenda zake Attacker wa wa Simbaalikua pale ilikua ni goli la wazi kabisa chance haikutumiwa.. kuangalia nikamuona ATEBA alikua huko chini pemben Kwa beki wa kulia wa Azam ndio anakuja anajikongoja.

Ateba Team inavyokua Ina move haendi nayo ndio kitu kiangalien hasahasa after kama 25 Minutes anakua slow sana.

Time will tell inawezekana nikasakamwa maana Mashabiki wa Bongo hua wanaangalia ukifunga Leo na kesho unapewa Uking.

Ila Kwa Ateba still sio Aina ya Strika Simba wanamhitaji.

Mkwala angeanza na Bahat nzuri ya kufunga Mungemkubali...A man ana nguvu speed na hachokichoki ovyo sema ndio hivo Mambo ya Bongo ataachwa January halaf atabaki ATEBA Na BUDO

GooNight🇵🇹
Basi itabidi usajiliwe wewe 'SHAMBULIAJI' lisilochoka.
 
Habari!
Kwa mtu aliemfatilia Jamaa Kwa hizi games zote alizocheza Kwa playing style ya Simba na anavyocheza yeye hafai kabisa na soon mtakuja kukubaliana na Mimi.

Ni Mzito Balaa na anachoka

Lionel Ateba Hana pumzi 30 Minutes ashachoka anahema Kwa shida anaanguka ovyo kama Rasmus Hojlund wa United Kwa wafatiliaji wa soka la Ulaya nahisi wanamfahamu huyu dogo Hana stamina kabisa the same issue Kwa Ateba..

Ateba Juzi Kuna Chance kama Mbili ila Moja ilikua ndio nzuri zaidi ilitokea Mpiran ulipigwa kutokea winga ya kushoto ukakatiza ukaenda zake Attacker wa wa Simbaalikua pale ilikua ni goli la wazi kabisa chance haikutumiwa.. kuangalia nikamuona ATEBA alikua huko chini pemben Kwa beki wa kulia wa Azam ndio anakuja anajikongoja.

Ateba Team inavyokua Ina move haendi nayo ndio kitu kiangalien hasahasa after kama 25 Minutes anakua slow sana.

Time will tell inawezekana nikasakamwa maana Mashabiki wa Bongo hua wanaangalia ukifunga Leo na kesho unapewa Uking.

Ila Kwa Ateba still sio Aina ya Strika Simba wanamhitaji.

Mkwala angeanza na Bahat nzuri ya kufunga Mungemkubali...A man ana nguvu speed na hachokichoki ovyo sema ndio hivo Mambo ya Bongo ataachwa January halaf atabaki ATEBA Na BUDO

GooNight🇵🇹
Mpaka dakika unaandika huu uzi,Simba wamecheza mechi ngapi za ligi?
 
Uchambuzi wakiduanzi sana huu dah nadhani utakuwa ni MSWADA inabidi aupeleke kwa DIDDY ili uwe sheria yakinifu
 
Habari!
Kwa mtu aliemfatilia Jamaa Kwa hizi games zote alizocheza Kwa playing style ya Simba na anavyocheza yeye hafai kabisa na soon mtakuja kukubaliana na Mimi.

Ni Mzito Balaa na anachoka

Lionel Ateba Hana pumzi 30 Minutes ashachoka anahema Kwa shida anaanguka ovyo kama Rasmus Hojlund wa United Kwa wafatiliaji wa soka la Ulaya nahisi wanamfahamu huyu dogo Hana stamina kabisa the same issue Kwa Ateba..

Ateba Juzi Kuna Chance kama Mbili ila Moja ilikua ndio nzuri zaidi ilitokea Mpiran ulipigwa kutokea winga ya kushoto ukakatiza ukaenda zake Attacker wa wa Simbaalikua pale ilikua ni goli la wazi kabisa chance haikutumiwa.. kuangalia nikamuona ATEBA alikua huko chini pemben Kwa beki wa kulia wa Azam ndio anakuja anajikongoja.

Ateba Team inavyokua Ina move haendi nayo ndio kitu kiangalien hasahasa after kama 25 Minutes anakua slow sana.

Time will tell inawezekana nikasakamwa maana Mashabiki wa Bongo hua wanaangalia ukifunga Leo na kesho unapewa Uking.

Ila Kwa Ateba still sio Aina ya Strika Simba wanamhitaji.

Mkwala angeanza na Bahat nzuri ya kufunga Mungemkubali...A man ana nguvu speed na hachokichoki ovyo sema ndio hivo Mambo ya Bongo ataachwa January halaf atabaki ATEBA Na BUDO

GooNight🇵🇹
Kwa yanayofanyika Sasa Hawatakuelewa, labda tusubiri hiyo "time will tell" yako.
 
Back
Top Bottom