Baada ya January 30, 2024 Jerry Silaa ataendesha operesheni ya kuvunja vituo vya mafuta nchi nzima?

Baada ya January 30, 2024 Jerry Silaa ataendesha operesheni ya kuvunja vituo vya mafuta nchi nzima?

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Waziri Silaa ameagiza maafisa wake wampe taarifa ya vituo vya mafuta nchi nzima. Je anajiandaa kuvunja vituo vya mafuta nchi nzima? Wacha tuone nini kitafuata baada ya 30 January 2024.

Kauli za karibuni za waziri huyo zimezua sintofahamu kwa wawekezaji wa biashara ya mafuta nchini ambao hufuata taratibu zote, lakini Waziri Silaa anataka kuwageuka kana kwamba wizara yake haikuwapa vibali vyote
 
Waziri Silaa ameagiza maafisa wake wampe taarifa ya vituo vya mafuta nchi nzima. Je anajiandaa kuvunja vituo vya mafuta nchi nzima? Wacha tuone nini kitafuata baada ya 30 January 2024.

Kauli za karibuni za waziri huyo zimezua sintofahamu kwa wawekezaji wa biashara ya mafuta nchini ambao hufuata taratibu zote, lakini Waziri Silaa anataka kuwageuka kana kwamba wizara yake haikuwapa vibali vyote
We mbona unawashwa sana na hii issue umetumwa na hao wamiliki wa vituo? Waambie watii sheria za nchi, vituo vyote vilivyokiuka taratibu na sheria lazima vivunjwe. Kwa hiyo tuliza tako we bwege.
 
Hawa vijana wanaopewa uongozi Kwa hisani ya wazazi wao ni shida Sana. Hamna wanachojua zaidi ya kutafuta Kiki na umaarufu wa kijinga na hapa ndipo naunga hoja ya katiba mpya ili viongozi hawa watokane na nguvu ya wananchi na sio Kwa hisani kama ilivyo Kwa jerry silaa
 
Mwenzetu una hisa kwa hio miradi

Si kwa mkalia kooni Mheshimiwa
Nadhani shida haipo kwenye hisa, shida ipo kwenye kulitia hasara taifa, coz akianza kuvunja wakati wawekezaji walifata taratibu zote na wana vibali halali kuna possibility ya kushitakiwa serikali na ikitokezea serikali ikashindwa kodi yako ndio italipa hiyo fidia ya hasara kwa mwekezaji.
 
Slaaa is seating on a ticking time bomb.
Kitendo Cha kuingilia biashara za mafisadi ambao wengi wako chama chakavu kitamfanya apate umaarufu usiotakiwa na baadhi ya makada.
Kama Slaa Ni mlume kweli he aje afungue hiki kituo hapa stop over mataa.
 
We mbona unawashwa sana na hii issue umetumwa na hao wamiliki wa vituo? Waambie watii sheria za nchi, vituo vyote vilivyokiuka taratibu na sheria lazima vivunjwe. Kwa hiyo tuliza tako we bwege.
Siyo kazi rahisi kihivyo kuvunja hivyo vituo vya Mafuta. Kama wamekiuka Sheria, Je, Serikali ilikuwa wapi wakati ujenzi wa hivyo vituo ulipokuwa unafanyika?Kwa nini hawakuchukuliwa hatua za Kisheria mapema wakati vituo hivyo vilipokuwa vinajengwa?
 
Hivi mnakumbuka ishu ya mgogoro wa Hayati JPM na wamiliki wa malori? Hadi JPM kutishiwa kuuawa?

Bahati yake alibahatika kuwa Rais, vinginevyo he was hunted

Nchi ngumu hii hasa unapoanzisha Vita na wafanyabiashara
 
Waziri wangu kama kweli umedhamiria ,anza kuvunja cha pale studio kinondoni, kona ya kwenda mwananyamala, maana ule ndio mfano hai wa washenzi hawa bcs they have money, next hamia mikokoni vunja yale mansions maana yanasababisha mafuriko kwa walala hoi
 
Back
Top Bottom