chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
- Thread starter
- #21
Silaa anatafuta hela kwa nguvuHivi mnakumbuka ishu ya mgogoro wa Hayati JPM na wamiliki wa malori? Hadi JPM kutishiwa kuuawa?
Bahati yake alibahatika kuwa Rais, vinginevyo he was hunted
Nchi ngumu hii hasa unapoanzisha Vita na wafanyabiashara