BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Ng'ombeBiden alishapata chanjo mbili za covid 19 na booster mbili za covid 19, lakini covid kamtembelea!! Leo katega tena bega!
View attachment 2299222
Hapa Tz Mungu ni mwema sana!! Tulimtanguliza Mungu wakati wao walitanguliza mwanadamu na sayansi!! Sisi asilimia zaidi ya 90 hawana chanjo hata moja lakini Mungu alituponya na tunampa utukufu wote!
Fake news hizi na utopolo mtupu zinaja server tuKuna mtu kanipenyezea kutoka huko USA kwamba Kamala kwa sasa kaongezewa ulinzi na huenda akaangukia na bahatai ya kuokota embe chini ya mnazi.
Kiwango cha Ulinzi kimeongezeka sana baada tu ya taarifa ya mzee kuumwa covid.
Bado ni tetesi lakini nikipata habari kamili nitawajuza
Apa umejibia ubongo au pua sasa nchi zipi raisi akifa nchi inapoteaUzuri wa nchi zenye demokrasia sio rais pekee ndio anaye ongoza nchi hata afe biden leo marekani itaendelea kuwepo.
Mungu amekuona na atakulipa sawasawa na jinsi unavyostahili. Biblia inasema "Mungu hadhihakiwi, apandacho mtu ndicho atakachovuna".Ng'ombe
Hapo nawakumbusha team pilton ambao watafurahi Biden akifaApa umejibia ubongo au pua sasa nchi zipi raisi akifa nchi inapotea
Zinaweza muwa za kweliFake news hizi na utopolo mtupu zinaja server tu
Na Samia je? Uwe unasema wa kwanza wapi.Rais wa kwanza Mwanamke loading...