Baada ya kauli ya Rais, nawasikitikia sana waliochukua fremu za biashara kwenye ya stendi kuu ya mabasi Mbezi

Baada ya kauli ya Rais, nawasikitikia sana waliochukua fremu za biashara kwenye ya stendi kuu ya mabasi Mbezi

DeepPond

JF-Expert Member
Joined
Nov 18, 2017
Posts
41,728
Reaction score
103,997
KWA KAULI YA JPM,

Nawaskitikia sana Waliochukua fremu za biashara ndani ya stend kwa gharama kubwa IMEKULA KWAO.

Machinga na Mama lishe watauza bidhaa ile Ile kwenye kibaraza cha fremu uliolipia mwenyewe kwa pesa zako,

Wateja hawataona umuhimu wa kuingia ndani ya frem lako,Na watauziwa biadhaa ile ile kwa Bei ya chini zaidi.

Ukitaka kushindana nao, labda ukauze Bei sawa na wao.

Hapo bado tozo za manispaa, leseni, TRA n.k utalipa WEWE.

Machinga na mama lishe watakua pembeni tu wanakusanifu kwa kitambulisho chao cha elfu 20[emoji16].

Na huna cha kuwafanya kwasababu mweshimiwa tayari keshasema[emoji1]

Aisee

Mliochukua zile frem mjiandae kisaikolojia.
 
Magufuli ni rais wa wanyonge. Hao waliochukua fremu ni wazugaji sio wanyonge maana hata wao hawazuiliwi kumwaga vitu vyao chini kama wamachinga waokoe hela ya fremu kwa kuuza kimachinga bidhaa zao. Warudishe fremu wageuke wamachinga.

Ukiona mtu amechukua hadi fremu na hataki hata kujichanganya kuuza kimaskini kama mmachinga huyo sio mnyongeeee..
 
Magufuli ni rais wa wanyonge. Hao waliochukua fremu ni wazugaji sio wanyonge maana hata wao hawazuiliwi kumwaga vitu vyao chini kama wamachinga waokoe hela ya fremu kwa kuuza kimachinga bidhaa zao. Warudishe fremu wageuke wamachinga.

Ukiona mtu amechukua hadi fremu na hataki hata kujichanganya kuuza kimaskini kama mmachinga huyo sio mnyongeeee..
Ha ha ha

Kwaiyo uchukue frem kwa million 3-5 kwa mwezi Kisha ukamwage bidhaa chini pamoja na wamachinga.

Utakua uchizi huu
 
Ina maana machinga watafanya mpaka m-pesa na biashara ya stationery
Ujaziona stationary za kariakoo?
Mtaa wa uhuru Machinga chini ya turubai wamemwaga vitabu,kalamu, daftar,mafaili n.k

Ujaziona m-pesa za kariakoo,
Vijana wamekaa kwenye vibaraza njiani kabisa na bango la m-pesa wakifanya miamala Kama kawaida?
 
Badala ya kuleta policy za kupunguza machinga / wabangaizaji / wahangaikaji ili wawe middle income na wenyewe wafungue maduka, tunaleta policy za kuendelea / waendelee kuwa machinga / wabangaizaji.
 
Itabidi wenye maduka waanze kuwaroga machinga maana hamna namna sasa
[emoji23][emoji23][emoji23]hatari Sana,

Umelipa frem la m-pesa million 3 kw mwezi,

machinga anakuja na benchi lake na bango lake anakaa kwenye kibaraza chako na kufanya miamala ile Ile ya pesa.

Na Mwisho wa mwezi kamisheni amekuzidi

[emoji16][emoji16]Apo ndo utajua kwanini mlevi maji huwa anaita "mma"
 
Badala ya kuleta policy za kupunguza machinga / wabangaizaji / wahangaikaji ili wawe middle income na wenyewe wafungue maduka..., tunaleta policy za kuendelea / waendelee kuwa machinga / wabangaizaji....
Ni hatari Sana mkuu,
Hii stendi inaenda Kama gulio sasa
 
Back
Top Bottom