kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Naona unakuwa kama "hermaphrodite"; unavuta unakiweka kwako mwenyewe. Tangu lini umeanza kumpenda Mwamba?Kikosi kazi cha mafisi wanafiki!
Nasimama penye ukweli!Naona unakuwa kama "hermaphrodite"; unavuta unakiweka kwako mwenyewe. Tangu lini umeanza kumpenda Mwamba?
Alisikika mlevi mmoja!Uongo huoo
Chopa yenyewe imeandikwa TAM (5H-TAM) twende na Asali Mkuu.Pesa haijawahi muacha mtu salama tangu enzi za mitume na manabii pesa ni sabuni ya roho,ukiona mtu anapiga kelele sana kuhusu rushwa hajaunganishwa kwenye mfumo,nani hataki raha toka aanze ni yeye na kupanda punda tu,
Sasa kapandishwa chopa anacheeka hatutosikia tena pesa za mama Abduli zinavuruga chama Mbowe ana akili sana kamtia kwenye buyu la asali nae ajirambe!
Cheki hapo kosi la mafisadi upande wa upinzani maskini msigwa kaachwa!
Ahlaaaa!Chopa yenyewe imeandikwa TAM (5H-TAM) twende na Asali Mkuu.