Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Ukweli nikuwa hata akipandisha hali ya uchumi ni mbaya, atapandisha tu ili kupunguza kelele na miradi mingi itadorora kwani mingi ilifanyika kusaka sifa za kisiasa na sio uwezo halisi wa serikali. Sioni Magufuli akifanya mradi mwingine wa maana awamu yake ya pili, kwani hafanyi vizuri kama alivyotaka kutuaminisha na uwezo wake kiuchumi unazidi kudhihiri kwamba ni mdogo.