Gharama ya km 1 ya barabara kwenye rock excavation haiwezi kuwa sawa na km 1 ya barabara kwenye common excavation,ni kama kulazimisha gharama ya lita moja ya mafuta dar iwe sawa na Mwanza.Kaka nimekuambia tumia "Kilometa" sio "lots", gharama zinapangwa kwa Kilometer sio lots. Dar hadi Mwanza ni 1200Km...
Dar hadi Makutopora ni 700Km na zimegharimu $3.1B, zimebaki 500Km, akili kichwani mwako. Unahisi hizo zitagharimu zaidi ya hizo 700Km?
Ndio nimekubia unapaswa uzungumze kwa kutumia Kilometers, wewe hutaki Kilometer badala yake unazungumza lots ambazo hazina uhusiano wowote na gharama za ujenzi, jibu maswali yafuatayo:Shida yako unaongea vitu ambavyo huvielewi,kutoka dar to morogoro ni km 205km lakini ukiweka na links zake ni karibu km 300
Unajua tofauti ya reli ya umeme na SGR? Jaribu kuelewa jambo kabla hujajenga hoja zako,vinginevyo utaonekana unaongea vitu usivyovijuaUnapaswa kutoa data ili tujionee wacha kuendelea kuuliza maswali. Kwanza hiyo $7.9 ilikua sio reli ya umeme. Unapozungumzia gharama za ujenzi lazima utoe estimates kwa kilometa moja ya reli, hadi amakutopora ni $3.1B kwa jumla ya 700Km, zimebaki 500Km hadi kufika Mwanza, huenda zikagharimu $3B, jumla ni $6.1B, tutaokoa zaidi ya $1.8B, tena ni train ya UMEME, tungejenga ya Diesel kama walivyopanga huenda tungetumia $4B tu hadi Mwanza.
Tuombe nchi masikini msaada?Tuombeni msaada mnapokuwa mmezidiwa, acheni ubishi.
Si hakika kama unajua ujenzi wa tuta la reli na uwekaji wa njia ya umeme kwenye reli ni miradi miwili tofauti.Unapaswa kutoa data ili tujionee wacha kuendelea kuuliza maswali. Kwanza hiyo $7.9 ilikua sio reli ya umeme. Unapozungumzia gharama za ujenzi lazima utoe estimates kwa kilometa moja ya reli, hadi amakutopora ni $3.1B kwa jumla ya 700Km, zimebaki 500Km hadi kufika Mwanza, huenda zikagharimu $3B, jumla ni $6.1B, tutaokoa zaidi ya $1.8B, tena ni train ya UMEME, tungejenga ya Diesel kama walivyopanga huenda tungetumia $4B tu hadi Mwanza.
Subirini kiangazi kinakuja,nasikia mmeshaanza kwa siri kuomba chakula Ethiopia...?Tuombe nchi masikini msaada?
Hahahaha, reli ya umeme na SGR?, Mungu akusaidie ndugu yangu, wewe mwenzetu umetuzidi sana kwa akili, upo mbele yetu sisi sote. Hebu tufundishe tofauti ya reli ya umeme na SGR.Unajua tofauti ya reli ya umeme na SGR? Jaribu kuelewa jambo kabla hujajenga hoja zako,vinginevyo utaonekana unaongea vitu usivyovijua
Hahahaha, tumewazidi kwa kila kitu, ninyi uwezo wenu wa akili ni mdogo sana.Tuombe nchi masikini msaada?
Unajichosha na huyo jamaa.Hahahaha, reli ya umeme na SGR?, Mungu akusaidie ndugu yangu, wewe mwenzetu umetuzidi sana kwa akili, upo mbele yetu sisi sote. Hebu tufundishe tofauti ya reli ya umeme na SGR.
Sikua nimemjua, sasa hivi nimemjua hanisumbui tena.unajichosha na huyo jamaa.
Tokea manzo hajui hata tofauti ya reli yetu na kenya.na hata hajui tinachosifia ni kitu gani, hata ikizid gharam itakuwa imezidi sababu ya nini. Bahati mbaya au nzuri haizidi.
OkUnajichosha na huyo jamaa.
Tokea manzo hajui hata tofauti ya reli yetu na kenya.na hata hajui tinachosifia ni kitu gani, hata ikizid gharam itakuwa imezidi sababu ya nini.bahati mbaya au nzuri haizidi.
Tueleze hizo variation basi!Mtu yoyote anayetukana badala ya kujenga hoja huyo hana akili, ila kwa kukusaidia tu kuna lot 5 mpaka mwanza,mbili tayari zishamaliza $3.1B na hiyo ni contract price bado hujaongeza variations ambazo zimetokea.
kingine Makutupora-Mwanza ni tambarare hamna tunnels wala babake mito mikubwa kama Ruvu ama Mkondoa ni mwendo mdundo!Shida yako unaongea vitu ambavyo huvielewi,kutoka dar to morogoro ni km 205km lakini ukiweka na links zake ni karibu km 300
TEAM DOMO VS TEAM HAPA KAZI TUTuombe nchi masikini msaada?
Hao nyang'ao na wao si hupenda kujiita ni Capitalists...Mchina is a new capitalist unategemea nini hapo kama sio kupigwa
Jr[emoji769]
They are the upcoming super powerHao nyang'ao na wao si hupenda kujiita ni Capitalists...
Thanks umemjibu vizuri sana hiyo ya wachina ilikuwa diesel sio ya umeme.Na kwa jiografia ya kuanzia hapo makutupola kwenda mwanza nI tambarare mlima ni mmoja sekenke tuu tunatoboa tunnel moja kutoka hapo ni tambarare mpaka mwanza hivyo gharama zitakuwa chini tuu.Unapaswa kutoa data ili tujionee wacha kuendelea kuuliza maswali. Kwanza hiyo $7.9 ilikua sio reli ya umeme. Unapozungumzia gharama za ujenzi lazima utoe estimates kwa kilometa moja ya reli, hadi amakutopora ni $3.1B kwa jumla ya 700Km, zimebaki 500Km hadi kufika Mwanza, huenda zikagharimu $3B, jumla ni $6.1B, tutaokoa zaidi ya $1.8B, tena ni train ya UMEME, tungejenga ya Diesel kama walivyopanga huenda tungetumia $4B tu hadi Mwanza.