Baada ya Kiapo cha Odinga: Serikali imelitangaza kundi la NRM liongozwalo na Raila Odinga kuwa la kihalifu

Kunguru Mjanja

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2012
Posts
2,046
Reaction score
3,971

Raila Odinga akiwa kwenye Viwanja vya Uhuru Park

KENYA: Serikali kupitia Waziri wa Usalama, Dkt Fred Matiang’i amepinga marufuku kundi la na National Resistance Movement (NRM) lililopo chini ya Muungano wa wa Upinzani (NASA)

Kundi hilo limekuwa liliundwa baada ya Raila Odinga kususia uchaguzi wa marudio na limekuwa katika harakati za kutaka mabadiliko katika uchaguzi na wananchi kusuia bidhaa za makampuni ambayo yanadiwa kuwa upande wa serikali

Waziri huyo wa Usalama ameliweka kundi la NRM kwenye ordha moja na makundi ya kigaidi kama Al Shabaab na Al Qaeda

Hatua hii imekuja ikiwa ni baada ya Raila Odinga kujiapisha kama Rais wa Watu nchi Kenya

=======

The Kenyan Government declares Raila Odinga's National Resistance Movement (NRM) as an organized criminal group in a Gazette Notice from the Cabinet Secretary of Interior C.S Fred Matiangi!

Interior CS Fred Matiang'i lists NRM as an outlawed group

National Resistance Movement, an arm of opposition Nasa has been declared an organised criminal group, after its officials sworn-in Raila Odinga as the peoples’ president.

Interior Cabinet Secretary Fred Matiang’i, in making the declaration, cited Prevention of Organised Crimes Act 2010.

“In exercise of the powers conferred by section 22 of the Act, the Cabinet Secretary, Ministry of Interior and Co-ordination of National Government declares National Resistance Movement (NRM) to be organised criminal group for the purposes of the Act,” according to a gazette notice dated January 30.

In doing so, the CS placed NRM on a list that also includes terrorists groups like Al-Shabaab and Al-Qaeda.

Other groups like Mungiki, which is involved in murders and kidnappings are also in the list.

NRM agitates for electoral reforms and boycott of products and services provided by companies deemed to be pro-government.

Members of the public are usually warned against getting involved in activities of proscribed groups.

Harsh penalties, including life imprisonment and hefty fines of up to Sh1 million are imposed on those who do.

Previous ministers in charge of Security have on occasions proscribed various groups.

Other groups in the outlawed list are:

1. Al-Shabaab

2. Amachuma

3. Angola Msumbiji

4. Banyamulenge

5. Baghdad Boys

6. Charo Shutu

7. Chinkororo

8. Coast Housing Land Network

9. Congo by Force

10. Dallas Muslim Youth

11. Forty Brothers

12. Forty-two Brothers

13. Jeshi la Embakasi

14. Jeshi la Mzee

15. Jeshi la King’ole

16. Japo Group

17. Kamjesh

18. Kamukunji Youth Group

19. Kaya Bombo Youth

20. Kenya Youth Alliance

21. Kosovo Boys

22. Kuzacha

23. Makande Army

24. Mombasa Republican Council

25. Mungiki Movement, Mungiki Organisation, Mungiki Sect

28. Republican Revolutionary Council

29. Sabaot Land Defence Force

30. Sakina Youth

31. Sungu Sungu

32. Siafu

33. Taliban

Matiang'i declares NRM criminal group
 
Truly there is no honour among thieves!
Teh teh teh teh teh teh!

For now Kenya is A Republic,
Of Two Presidents, Two heads of State, Two Commanders in Chief and Two heads of the Government.
Worse enough they both claim to have gained legitimacy from their own voters....I must admit seeing that seeing these tribal chauvinist tearing each other because of power will be quite a spectacle...(No honour among thieves)
 
Ingekuwa Bongo, siku hii ingetangazwa kwamba polisi watafanya mazoezi ya wazi kwa kushirikiana na Jeshi la Wananchi katika mitaa yote ya Dar, hivyo Wananchi wabakie majumbani mwao
Hebu imagine hicho kitendo kingefanyika Tanzania sizonje angefanyaje yaani

Sizonje anafanya yale siyo kwasababu ni mbabe lah hasha,
Kwasababu anajua Watanganyika ni waoga na rahisi sana kuwanunua na kuwagawa.
Nakuhakikishia Sizonje angekuwa ni Raisi wa nchi kama Kenya hivi asingefanya haya anayofanya hapa Tanzania.
Huu ni ukweli mchungu, Watanzania utawanyanyasa watalalamika lakini Watanyamaza wakidai wanatunza amani.

Leo Wakikuyu wakihisi Mjaluo anasahau sehemu yake katika siasa za Kenya,
Lazima damu itamwagika, yaani ni sisi wajaluo na wao Wakikuyu.
Michezo yake isingefanikiwa kabisaaa!
 
show me your friends and i'll tell you who you are [emoji22]

Magufuli alituonyesha huyu Raila Odinga Oginga ni rafiki yake yaani very best . [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Tusubiri kiporo chetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…