Baada ya kichaka cha sold out na full house kufweka, sasa wamekuja na kichaka kipya

Baada ya kichaka cha sold out na full house kufweka, sasa wamekuja na kichaka kipya

Frank Wanjiru

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2012
Posts
22,719
Reaction score
40,739
Baada ya jana Yanga kujaza pomoni viwanja viwili vya Mkapa na Uhuru, wale wacha mbuzi uchwara wamehama kutoka kwenye vichaka vya sold out na full house na kuja na kichaka cha time management.

Hawajui kuwa lile ni tamasha/bonanza kati ya viongozi, wachezaji na mashabiki/wanachama wa timu kuwa karibu na kufurahi pamoja bila kujali muda kiasi gani utatumika ili mradi watu wafurahie burudani mbalimbali wakiwa pamoja kama mashabiki.
 
Baada ya jana Yanga kujaza pomoni viwanja viwili vya Mkapa na Uhuru,wake wacha mbuzi uchwara wamehama kutoka kwenye vichaka vya sold out na full house na kuja na kichaka cha time management. Hawajui kuwa lile ni tamasha/bonanza kati ya viongozi,wachezaji na mashabiki/wanachama wa timu kuwa karibu na kufurahi pamoja bila kuja muda kiasi gani utatumika ili mradi watu wafurahie burudani mbalimbali wakiwa pamoja kama mashabiki.
Ndio maana Manara anasema wenye akili Yanga ni Kikwete na baba yake tu.

Unatetea nini Sasa Hapa??

Ujuha mwingine bana
 
Baada ya jana Yanga kujaza pomoni viwanja viwili vya Mkapa na Uhuru, wale wacha mbuzi uchwara wamehama kutoka kwenye vichaka vya sold out na full house na kuja na kichaka cha time management.

Hawajui kuwa lile ni tamasha/bonanza kati ya viongozi, wachezaji na mashabiki/wanachama wa timu kuwa karibu na kufurahi pamoja bila kuja muda kiasi gani utatumika ili mradi watu wafurahie burudani mbalimbali wakiwa pamoja kama mashabiki.
Kaka tarehe 8 tutawapiga kama ngoma Cc ephen_
 
Back
Top Bottom