Mpwimbe
JF-Expert Member
- Oct 13, 2023
- 455
- 818
Kwahiyo, unadhani kila anayekosoa Yanga ni shabiki wa Simba.Wenye akili ni Rage na Mangungu tuu.
Wewe juha ni kiazi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo, unadhani kila anayekosoa Yanga ni shabiki wa Simba.Wenye akili ni Rage na Mangungu tuu.
Kimefyekwa kwa supu na tiketi za kuingia uwanjani bure?Baada ya jana Yanga kujaza pomoni viwanja viwili vya Mkapa na Uhuru, wale wacha mbuzi uchwara wamehama kutoka kwenye vichaka vya sold out na full house na kuja na kichaka cha time management.
Hawajui kuwa lile ni tamasha/bonanza kati ya viongozi, wachezaji na mashabiki/wanachama wa timu kuwa karibu na kufurahi pamoja bila kujali muda kiasi gani utatumika ili mradi watu wafurahie burudani mbalimbali wakiwa pamoja kama mashabiki.
Wenye timu yao wameukubali muziki wa Yanga. Ila mbumbumbu FC bana, kufungwa wafungwe Red arrows lakini kuumiwa wanaumia wao..!!jamaa wana visingizio lukuki, mara ally kamwe hakuwepo,mara refa kazingua mara uwanja haujajaa.
kifupi ni wivu tu, ngoja tarehe 8 tuwazagamue ndo waumie vizuri
Ambao wananunua tiketi na kula majumbani mwao. Hawavizii supu ya vibudu.Mashabiki wa simba ni mambumbumbu
kuntuBaada ya jana Yanga kujaza pomoni viwanja viwili vya Mkapa na Uhuru, wale wacha mbuzi uchwara wamehama kutoka kwenye vichaka vya sold out na full house na kuja na kichaka cha time management.
Hawajui kuwa lile ni tamasha/bonanza kati ya viongozi, wachezaji na mashabiki/wanachama wa timu kuwa karibu na kufurahi pamoja bila kujali muda kiasi gani utatumika ili mradi watu wafurahie burudani mbalimbali wakiwa pamoja kama mashabiki.
Hapo sasa.Wasipoenda uwanjani mnapiga domo wakienda mnasema ni jobless sasa tuwaelewaje nyie mbambumbumbu?
Namuombea na Kaduguda aliegongea msumari kauli ya RageWenye akili ni Rage na Mangungu tuu.
Ni Mwamedi tuu alituonyesha Dada zake wamiliki wenza wa KoloizdadHivi juzi simba walionesha nini kama mafanikio ya msimu uliopita?
Yanga tuliona vikombe.
Vibaya mno sababu ndilo lililotupeleka hilo kupata ladha tofauti za burudani.Kwa hiyo ulikuwa unafurahia ule utopolo wa Harmonize na kina kidoti na Manara?
Naona unatafuta kiki kupitia MimiKwahiyo, unadhani kila anayekosoa Yanga ni shabiki wa Simba.
Wewe juha ni kiazi sana
Halafu ni mbumbumbu pekee ndio waliaminishwa na Manara na bado wanaamini mpaka leo.Mbumbumbu huwa ana akili?
Kumbe Kidoti naye alikuwepo? Kunywa maji utapata stroke bure.Kwa hiyo ulikuwa unafurahia ule utopolo wa Harmonize na kina kidoti na Manara?
naunga mkonoMakolo ni takataka.