Baada ya kichaka cha sold out na full house kufweka, sasa wamekuja na kichaka kipya

Baada ya kichaka cha sold out na full house kufweka, sasa wamekuja na kichaka kipya

Mlijaza kweli mkuu
1722791990544.jpg
 
Baada ya jana Yanga kujaza pomoni viwanja viwili vya Mkapa na Uhuru, wale wacha mbuzi uchwara wamehama kutoka kwenye vichaka vya sold out na full house na kuja na kichaka cha time management.

Hawajui kuwa lile ni tamasha/bonanza kati ya viongozi, wachezaji na mashabiki/wanachama wa timu kuwa karibu na kufurahi pamoja bila kujali muda kiasi gani utatumika ili mradi watu wafurahie burudani mbalimbali wakiwa pamoja kama mashabiki.
Kimefyekwa kwa supu na tiketi za kuingia uwanjani bure?
 
jamaa wana visingizio lukuki, mara ally kamwe hakuwepo,mara refa kazingua mara uwanja haujajaa.

kifupi ni wivu tu, ngoja tarehe 8 tuwazagamue ndo waumie vizuri
Wenye timu yao wameukubali muziki wa Yanga. Ila mbumbumbu FC bana, kufungwa wafungwe Red arrows lakini kuumiwa wanaumia wao..!!

 
Baada ya jana Yanga kujaza pomoni viwanja viwili vya Mkapa na Uhuru, wale wacha mbuzi uchwara wamehama kutoka kwenye vichaka vya sold out na full house na kuja na kichaka cha time management.

Hawajui kuwa lile ni tamasha/bonanza kati ya viongozi, wachezaji na mashabiki/wanachama wa timu kuwa karibu na kufurahi pamoja bila kujali muda kiasi gani utatumika ili mradi watu wafurahie burudani mbalimbali wakiwa pamoja kama mashabiki.
kuntu
 
Sold out gani nyie mlifanya wakati jana tiketi zimeuzwa uwanjani?

Pamoja na hayo yote lakini haikusaidia mpaka mlipoweka fungulia mbwa
 
Kama kocha wenu kafanya analysis na kuiandaa timu kwa kuangalia mechi ya jana basi mshapotea.
 
Ile siyo tamasha ni Isindigo, takataka kabisa
 
Back
Top Bottom