Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Ndio maana Manara anasema wenye akili Yanga ni Kikwete na baba yake tu.Baada ya jana Yanga kujaza pomoni viwanja viwili vya Mkapa na Uhuru,wake wacha mbuzi uchwara wamehama kutoka kwenye vichaka vya sold out na full house na kuja na kichaka cha time management. Hawajui kuwa lile ni tamasha/bonanza kati ya viongozi,wachezaji na mashabiki/wanachama wa timu kuwa karibu na kufurahi pamoja bila kuja muda kiasi gani utatumika ili mradi watu wafurahie burudani mbalimbali wakiwa pamoja kama mashabiki.
Kaka tarehe 8 tutawapiga kama ngoma Cc ephen_Baada ya jana Yanga kujaza pomoni viwanja viwili vya Mkapa na Uhuru, wale wacha mbuzi uchwara wamehama kutoka kwenye vichaka vya sold out na full house na kuja na kichaka cha time management.
Hawajui kuwa lile ni tamasha/bonanza kati ya viongozi, wachezaji na mashabiki/wanachama wa timu kuwa karibu na kufurahi pamoja bila kuja muda kiasi gani utatumika ili mradi watu wafurahie burudani mbalimbali wakiwa pamoja kama mashabiki.
Wasipoenda uwanjani mnapiga domo wakienda mnasema ni jobless sasa tuwaelewaje nyie mbambumbumbu?Uto wengi ni jobless bado yamelala jana yamelala saa saba
Wenye akili ni Rage na Mangungu tuu.Ndio maana Manara anasema wenye akili Yanga ni Kikwete na baba yake tu.
Unatetea nini Sasa Hapa??
Ujuha mwingine bana
Kichaka kingine hiki kisicho na mashikoUto wengi ni jobless bado yamelala jana yamelala saa saba
Mbumbumbu huwa ana akili?Ndio maana Manara anasema wenye akili Yanga ni Kikwete na baba yake tu.
Unatetea nini Sasa Hapa??
Ujuha mwingine bana
Acha kumtag mpenzi wa Mwashambwa.. jamaa akiona ataanza kububujikwa na machoziKaka tarehe 8 tutawapiga kama ngoma Cc ephen_
Gongowazi nyie ni mavi kabisaMakolo ni takataka.
Anafurahia zile shanga za MobetoKwa hiyo ulikuwa unafurahia ule utopolo wa Harmonize na kina kidoti na Manara?
🤣 mlizionaje..?😂Anafurahia zile shanga za Mobeto
Kwa macho🤣 mlizionaje..?😂
Wasipoenda uwanjani mnapiga domo wakienda mnasema ni jobless sasa tuwaelewaje nyie mbambumbumbu?