Baada ya kichaka cha sold out na full house kufweka, sasa wamekuja na kichaka kipya

Frank Wanjiru

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2012
Posts
22,719
Reaction score
40,739
Baada ya jana Yanga kujaza pomoni viwanja viwili vya Mkapa na Uhuru, wale wacha mbuzi uchwara wamehama kutoka kwenye vichaka vya sold out na full house na kuja na kichaka cha time management.

Hawajui kuwa lile ni tamasha/bonanza kati ya viongozi, wachezaji na mashabiki/wanachama wa timu kuwa karibu na kufurahi pamoja bila kujali muda kiasi gani utatumika ili mradi watu wafurahie burudani mbalimbali wakiwa pamoja kama mashabiki.
 
Ndio maana Manara anasema wenye akili Yanga ni Kikwete na baba yake tu.

Unatetea nini Sasa Hapa??

Ujuha mwingine bana
 
Kaka tarehe 8 tutawapiga kama ngoma Cc ephen_
 
jamaa wana visingizio lukuki, mara ally kamwe hakuwepo,mara refa kazingua mara uwanja haujajaa.

kifupi ni wivu tu, ngoja tarehe 8 tuwazagamue ndo waumie vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…