Tetesi: Baada ya kifo cha Fidel Castrol Amerika yatoboa siri

Tetesi: Baada ya kifo cha Fidel Castrol Amerika yatoboa siri

shige2

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2016
Posts
8,106
Reaction score
3,966
Wana jamvi nimeona hili niliweke hapa.
Kumbe siku za kuishi kwa mtu hupangwa na Muumba na wala si ADUI yako.
Hivi karibuni baada ya Fidel Castro kufariki.

Marekani na shirika lake la Kijasusi la CIA wametoboa siri katika nyaraka ambazo wame zi Declassify/Wameziondolea usiri na kuziweka hadharani.Wakisema walijaribu KUMUUA Castro mara 638 na katika majaribio yote hayo WALISHINDWA.

Miongoni mwa majaribio hayo ilikuwa ni kutumia watu wa karibu wa Castro, akiwemo HAWALA ake ambaye alitumika na akashindwa,walijaribu kutumia KALAMU za sumu,
SIGARA, CIGAR- Castro ALIGUNDUA AKAACHA KUVUTA,
Milipuko ya Seashells,
Kujaribu kuweka BACTERIA katika nguo zake za kuogelea.
Waliposhindwa hayo wakajaribu KUTUMIA ZAWADI. Castro ALIZIKATAA na wala HAKUZISHIKA.Wamarekani wakaachwa hoi!

Na kutumia BUTOLIN ili immalize wakashindwa.
Mpaka mwaka wa 2000 akiwa ziarani PANAMA mmoja wa watu waliotumiwa na CIA aliweka BOMU katika jukwaa ambalo ANGETUMIA kuhutubia watu.

WALINZI wake WALIOKAGUA jukwaa lake KABLA wakagundua bomu la kilo 90Kg. Wamerika wakaaibika na kuchoka. Na Majasusi wa Cuba DI-G2 (Generale Direccion de Intelligecia) Waliweza kuwakamata wote katika majaribio yao. Ndipo Marekani walipoinua mikono na kusema YAISHE.Na kuamua KUKAZA VIKWAZO maana huyu jamaa ALIWASHINDA.

Inanasemekana shirika la ujasusi la Cuba ni mingoni mwa mashirika bora zaidi ulimwenguni.Likichukuwa vijana wakiwa college mwaka wa pili walio na DIPLOMA wanaobobea katika masomo ya Mawasiliano, Sosiolojia,Uwezo wa kuongea na kuzijua LUGHA kadhaa nk.

Wengine HAWALIPWI ni watu walio katika kazi zao.
Maisha ya mtu kweli yamo mikononi mwa MUUMBA WAKE!
Chanzo: Los Angeles Times 2 Dec na The Guardian, 2016
 
Nnavyo jua cuba ni marufuku kumiliki gari mpya,katika watu 1000 ni kumi tu ndio wana magari.
 
Hawatoi scholarship ya kwenda kujifunz hayo m afunzo ya six senses
 
Wana jamvi nimeona hili niliweke hapa.
Kumbe siku za kuishi kwa mtu hupangwa na Muumba na wala si ADUI yako.
Hivi karibuni baada ya Fidel Castro kufariki.

Marekani na shirika lake la Kijasusi la CIA wametoboa siri katika nyaraka ambazo wame zi Declassify/Wameziondolea usiri na kuziweka hadharani.Wakisema walijaribu KUMUUA Castro mara 638 na katika majaribio yote hayo WALISHINDWA.

Miongoni mwa majaribio hayo ilikuwa ni kutumia watu wa karibu wa Castro, akiwemo HAWALA ake ambaye alitumika na akashindwa,walijaribu kutumia KALAMU za sumu,
SIGARA, CIGAR- Castro ALIGUNDUA AKAACHA KUVUTA,
Milipuko ya Seashells,
Kujaribu kuweka BACTERIA katika nguo zake za kuogelea.
Waliposhindwa hayo wakajaribu KUTUMIA ZAWADI. Castro ALIZIKATAA na wala HAKUZISHIKA.Wamarekani wakaachwa hoi!

Na kutumia BUTOLIN ili immalize wakashindwa.
Mpaka mwaka wa 2000 akiwa ziarani PANAMA mmoja wa watu waliotumiwa na CIA aliweka BOMU katika jukwaa ambalo ANGETUMIA kuhutubia watu.

WALINZI wake WALIOKAGUA jukwaa lake KABLA wakagundua bomu la kilo 900kg. Wamerika wakaaibika na kuchoka. Na Majasusi wa Cuba DI-G2 (Generale Direccion de Intelligecia) Waliweza kuwakamata wote katika majaribio yao. Ndipo Marekani walipoinua mikono na kusema YAISHE.Na kuamua KUKAZA VIKWAZO maana huyu jamaa ALIWASHINDA.

Inanasemekana shirika la ujasusi la Cuba ni mingoni mwa mashirika bora zaidi ulimwenguni.Likichukuwa vijana wakiwa college mwaka wa pili walio na DIPLOMA wanaobobea katika masomo ya Mawasiliano, Sosiolojia,Uwezo wa kuongea na kuzijua LUGHA kadhaa nk.

Wengine HAWALIPWI ni watu walio katika kazi zao.
Maisha ya mtu kweli yamo mikononi mwa MUUMBA WAKE!
Chanzo: Los Angeles Times 2 Dec na The Guardian, 2016
Bomu na kilo 900kg ni kitu gani we jamaa
 
Nnavyo jua cuba ni marufuku kumiliki gari mpya,katika watu 1000 ni kumi tu ndio wana magari.
Si kweli mkuu. Cuba sasa unaweza kuwa na gari mpya. Hata siku hizi watu wanaruhusiwa kuanzisha biashara zao binafsi tofauti na zamani.
 
Hiyo inaonesha kuwa kuna nchi Intelligence Agent zipo serious mno si huku kwetu habari za Kintelejensia utazisikia tu kwenye ishu za Siasa ila si kwa matukio mengine mfano Panya Road hadi wanajipanga na kujitokeza barabarani kupora watu hakuna taarifa yeyote...
 
Marekani na shirika lake la Kijasusi la CIA wametoboa siri katika nyaraka ambazo wame zi Declassify/Wameziondolea usiri na kuziweka hadharani.Wakisema walijaribu KUMUUA Castro mara 638 na katika majaribio yote hayo WALISHINDWA.
Sasa wangejinadi 'waliweza' ningewaamini? wakati mtu kafia huku jua linazama kabisa.
 
Jamaa alikuwa na watu makini sana waliomzunguka na pia ni wazalendo wakweli wanaojua kazi zao.
 
Back
Top Bottom