Baada ya kifo cha Ruge Mutahaba (RIP)ndipo tunaona Joe Kusaga ni kama ‘anajitambulisha’ pale Clouds Media, je ni kweli alikuwa ‘amefunikwa’?

Baada ya kifo cha Ruge Mutahaba (RIP)ndipo tunaona Joe Kusaga ni kama ‘anajitambulisha’ pale Clouds Media, je ni kweli alikuwa ‘amefunikwa’?

Ncha Kali

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2019
Posts
15,335
Reaction score
29,114
Sijui hata nimewaza nini!

Naiona nguvu kubwa ikitumika kumtambulisha mmiliki wa CMG Bwana Joe Kusaga, ni kama Mkurugenzi mpya vile kumbe ni yule yule aliyekuwa tangu kuasisiwa kwa kampuni hiyo!

Imekuwa kawaida sasa kusikia kila mara akifanyiwa mahojiano na vituo vyake vya Redio na TV, tofauti na pale awali enzi za Jasiri Muongozanjia.

Wala sio kwamba walikuwa katika nafasi moja ya kimajukumu, la hasha! Ruge alikuwa mkurugenzi wa vipindi na uzalishaji, Joe boss kama siku zote.

Ni wazi kuwa Ruge alimficha (overshine) Joe, wengi tuliwahi hata kuamini kuwa CMG ni ya Boss Ruge, huku Joe akiwa kimya.

Tulidhani labda Joe sio mtu wa kuongea sana, au pengine ana majukumu mengi huko nje kiasi kwamba hana muda. Leo tunamuona akihojiwa kila uchwao, nini kimebadilika kwenye majukumu au ratiba zake?

Amestukia kutrend kunalipa au niaje.?

Wasalaam,

Ncha Kali.
 
Kwenye kampuni yeyote kuna CEO na Owner.

Ni mara chache ukakuta CEO ni Owner.

Na ni mara chache zaidi kukuta Owner anafahamika zaidi ya CEO wa hiyo kampuni.

Kusaga alikuwa mmiliki na Ruge alikuwa anasimamia shughuli za Clouds za kila siku.

Mawazo yanaweza yakawa ya wote wawili ila kwasababu Ruge ndo anayasimamia ataonekana 'genious' tu.
 
Kwenye kampuni yeyote kuna CEO na Owner.

Ni mara chache ukakuta CEO ni Owner.

Na ni mara chache zaidi kukuta Owner anafahamika zaidi ya CEO wa hiyo kampuni.

Kusaga alikuwa mmiliki na Ruge alikuwa anasimamia shughuli za Clouds za kila siku.

Mawazo yanaweza yakawa ya wote wawili ila kwasababu Ruge ndo anayasimamia ataonekana 'genious' tu.

Nini kimebadilika katika hayo, ni vipi sasa anataka kufahamika?
 
Kwenye kampuni yeyote kuna CEO na Owner.

Ni mara chache ukakuta CEO ni Owner.

Na ni mara chache zaidi kukuta Owner anafahamika zaidi ya CEO wa hiyo kampuni.

Kusaga alikuwa mmiliki na Ruge alikuwa anasimamia shughuli za Clouds za kila siku.

Mawazo yanaweza yakawa ya wote wawili ila kwasababu Ruge ndo anayasimamia ataonekana 'genious' tu.
Ruge alikua mkurugenz wa uzalishaj na vipindi TU , idara nyingine zilikua na watu wengine
 
Kipindi yupo Ruge, Kusaga mda mwingi alikuwa Dubai, baada ya Ruge kufariki sasa yupo bongo mara kwa mara kuna majukumu ambayo sasa hivi lazima yeye mwenyewe anatakiwa kuyafanya ambayo enzi za Ruge alikuwa anamaliza mwenyewe, pengine anahitaji mda kidogo kupata mtu anayeweza kubeba majukumu yote kama ilivyokuwa kwa Ruge
 
Umepuyanga private company CEO ndio owner kuna cheo kinaitwa COO cheo cha COO ndicho kinaweza mfunika CEO
Kwenye kampuni yeyote kuna CEO na Owner.

Ni mara chache ukakuta CEO ni Owner.

Na ni mara chache zaidi kukuta Owner anafahamika zaidi ya CEO wa hiyo kampuni.

Kusaga alikuwa mmiliki na Ruge alikuwa anasimamia shughuli za Clouds za kila siku.

Mawazo yanaweza yakawa ya wote wawili ila kwasababu Ruge ndo anayasimamia ataonekana 'genious' tu.
 
Kipindi yupo Ruge, Kusaga mda mwingi alikuwa Dubai, baada ya Ruge kufariki sasa yupo bongo mara kwa mara kuna majukumu ambayo sasa hivi lazima yeye mwenyewe anatakiwa kuyafanya ambayo enzi za Ruge alikuwa anamaliza mwenyewe, pengine anahitaji mda kidogo kupata mtu anayeweza kubeba majukumu yote kama ilivyokuwa kwa Ruge

Hoja sio kutimiza majukumu yake, ni hii kuhojiwa hojiwa kila wakati.... nafikiri ni matumizi ya hovyo ya airtime ambayo Ruge alifanikiwa kumzuia!
 
Halafu kila akihojiwa maswali ni yale yale, ooh tulianza na disko, waanzilishi tuliishi nyumba moja mwaka mzima.

Si ndo hapo, maswali yale yale utasema ni kituo kimeanzishwa leo... stori zishasimuliwa over and over!

Tulikuwa wadogo, tulionekana wahuni... wapiga disko!

Sikuwahi kuona Dr Mengi RIP akihojiwa na Salama au Sam Misago pale EATV.
 
Back
Top Bottom