Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Kwa umri wake bhana, hata Majizzo tu sioni akihojiwa vile khaah..!!
Wakati yeye huwa anajiita kijana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa umri wake bhana, hata Majizzo tu sioni akihojiwa vile khaah..!!
Uwiiiiiiiih humjui Kusaga kwan? Mbna huwa anasemaga yeye n kijana. [emoji23][emoji23]Kwa umri wake bhana, hata Majizzo tu sioni akihojiwa vile khaah..!!
Kwenye kampuni yeyote kuna CEO na Owner.
Ni mara chache ukakuta CEO ni Owner.
Na ni mara chache zaidi kukuta Owner anafahamika zaidi ya CEO wa hiyo kampuni.
Kusaga alikuwa mmiliki na Ruge alikuwa anasimamia shughuli za Clouds za kila siku.
Mawazo yanaweza yakawa ya wote wawili ila kwasababu Ruge ndo anayasimamia ataonekana 'genious' tu.
Sasa amechukua majukumu ya kuwa CEO.Nini kimebadilika katika hayo, ni vipi sasa anataka kufahamika?
Sasa hapo ataacha vipi kufahamika zaidi?Ruge alikua mkurugenz wa uzalishaj na vipindi TU , idara nyingine zilikua na watu wengine
Sio wakati wote.Umepuyanga private company CEO ndio owner kuna cheo kinaitwa COO cheo cha COO ndicho kinaweza mfunika CEO
Wewe ndo umepuyanga vibaya mno.Umepuyanga private company CEO ndio owner kuna cheo kinaitwa COO cheo cha COO ndicho kinaweza mfunika CEO
wewe ndiyo zero kabisa...kampuni yoyote inayojielewa CEO hawezi kuwa ndio owner..Umepuyanga private company CEO ndio owner kuna cheo kinaitwa COO cheo cha COO ndicho kinaweza mfunika CEO
Mkuu naona wewe ndio kama umepiyanga.Wewe ndo umepuyanga vibaya mno.
Si lazima CEO awe ndo mmiliki wa kampuni. Tena kwa kampuni kubwa kabisa mmiliki anajitoa kuwa CEO anabaki kuwa chairman nyie mnapambana uko kwenye vikao. Microsoft na Google wamiliki wake wapo lakini sio ma-CEO. Hata Bakhresa sio.
Sasa nilichokosea kipo wapi. Nilisema "si lazima CEO awe owner". Uongo kwani?Mkuu naona wewe ndio kama umepiyanga.
Jamaa yupo sahihi ila umemissinterpret hapo kwenye 'lazima' jamaa hajasema lazima ilo neno umeweka wewe.
Kitakwimu private company CEO wengi ndio wanakuwa Owner kwamaana ya Owner ni yule mwenye share nyingi...fanya study yako kampuni kubwa za silicon valley.