Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,509
- 3,756
Kocha wa klabu ya Yanga, Mwinyi Zahera amekisifu kikosi cha klabu ya Simba na kusema Wachezaji wa Yanga walikosa ubunifu ndio maana wamepoteza mchezo wa jana
Zahera amesema ushindi wa jana wa Simba dhidi ya timu yake unakuja wakati ambapo klabu hiyo ya Msimbazi ingeshinda tu maana kwa sasa inacheza vizuri
Amesema timu yake ina Wachezaji wazuri lakini wanakosa ubunifu ule wa utafuta suluhisho la namna ya kucheza na kufunga magoli tofauti na ilivyo kwa Wachezaji wa Simba wenye uwezo huo
Hata hivyo amesisitiza kuwa bado Simba inafungika kirahisi sana na msimu ujao timu yake ya Yanga itamfunga Simba
Soma pia; Ligi Kuu Tanzania Bara, Februari 16, 2019: Kariakoo Derby, Yanga SC 0 - 1 Simba SC - JamiiForums
Sent using Jamii Forums mobile app
Zahera amesema ushindi wa jana wa Simba dhidi ya timu yake unakuja wakati ambapo klabu hiyo ya Msimbazi ingeshinda tu maana kwa sasa inacheza vizuri
Amesema timu yake ina Wachezaji wazuri lakini wanakosa ubunifu ule wa utafuta suluhisho la namna ya kucheza na kufunga magoli tofauti na ilivyo kwa Wachezaji wa Simba wenye uwezo huo
Hata hivyo amesisitiza kuwa bado Simba inafungika kirahisi sana na msimu ujao timu yake ya Yanga itamfunga Simba
Soma pia; Ligi Kuu Tanzania Bara, Februari 16, 2019: Kariakoo Derby, Yanga SC 0 - 1 Simba SC - JamiiForums
Sent using Jamii Forums mobile app