[emoji23] [emoji23] jamaa ameweka cc 2700 ,2500 halafu anaulizia ulaji wa mafuta Upo vipDuh
Mpaka umefikia level ya kununua hizi gari sidhani kama kigezo cha mafuta ni ishu tena!
Kama unaulizia ulaji wa mafuta mkuu nadhani kuna steji ya maisha umeruka umevamia hii...
Hizi gari ni za high end...Ulaji wa mafuta inatakiwa isiwe hoja ya kuzungumzia kabisa!
[emoji23] [emoji23] jamaa ameweka cc 2700 ,2500 halafu anaulizia ulaji wa mafuta Upo vip
.... Tumpe miezi 6 tu ataanza kuulizia bei za mikebe
Kwa jinsi ulivyo smart, Umevaa suti na umenyonga taiAcha mbwembwe kijana. Chukua vitz new model. Hata ulaya na marekani mnakoiga kila kitu wananunua Sana vitz. Mm yangu naitoa Leo bandarini
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaahaha mkuu hii kubadili oil tu $21,000Achana na hiyo mikebe mkuu, chukua Buggati Chiron, utaienjoy sana , hahahah
View attachment 991591
Anafurahisha genge tu maskini[emoji23] [emoji23] jamaa ameweka cc 2700 ,2500 halafu anaulizia ulaji wa mafuta Upo vip
.... Tumpe miezi 6 tu ataanza kuulizia bei za mikebe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Achana na mikebe njoo kwenye ferarri GTO 254 washington mpk dar masaa 8.