Baada ya Kitabu cha Shujaa Kabendera, CHADEMA na Familia ya Ben Saanane ni lini watatangaza Maombolezo na Mazishi ya Kiroho ya Kijana huyo?

Baada ya Kitabu cha Shujaa Kabendera, CHADEMA na Familia ya Ben Saanane ni lini watatangaza Maombolezo na Mazishi ya Kiroho ya Kijana huyo?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Bila shaka yoyote ile sasa ni dhahiri kwamba Ben Saanane alikwishauawa kikatili, na ni dhahiri kwamba Maiti yake ilitupwa (Rejea Kitabu kinachouzwa kwa kasi cha shujaa Kabendera)

Ninaamini kwenye dini zote upo utaratibu wa kuwazika kiroho Marehemu ambao wamethibitika kufariki lakini Miili yao haikupatikana, kwa maana ya kufa kwa ajali ya moto ama kuliwa na Mamba au hata majanga mengine yanayoweza kusababisha mwili wa marehemu kutopatikana.

Ndio Maana nimeuliza ni lini Chadema pamoja na Familia ya Marehemu Ben Saanane itaitisha kusanyiko kwa ajili ya kutoa heshima za mwisho za hayati huyo ambaye sasa imethibitika kwamba Hatunaye.

Namuomba Mwenyezi Mungu aipokee Roho yake, Amina.
 
Mbowe must go

Muuaji na mbakaji hayupo tena
 
Bila shaka yoyote ile sasa ni dhahiri kwamba Ben Saanane alikwishauawa kikatili, na ni dhahiri kwamba Maiti yake ilitupwa (Rejea Kitabu kinachouzwa kwa kasi cha shujaa Kabendera)

Ninaamini kwenye dini zote upo utaratibu wa kuwazika kiroho Marehemu ambao wamethibitika kufariki lakini Miili yao haikupatikana, kwa maana ya kufa kwa ajali ya moto ama kuliwa na Mamba au hata majanga mengine yanayoweza kusababisha mwili wa marehemu kutopatikana.

Ndio Maana nimeuliza ni lini Chadema pamoja na Familia ya Marehemu Ben Saanane itaitisha kusanyiko kwa ajili ya kutoa heshima za mwisho za hayati huyo ambaye sasa imethibitika kwamba Hatunaye.

Namuomba Mwenyezi Mungu aipokee Roho yake, Amina.
Labda wanasubiri uchunguzi wa kupotea kwake (siku ukitolewa).
 
Kikwetu tunaita "kuvisha". Mtu akiuwawa kwa hila au akiuwawa porini, ziwani au baharini na maiti yake isipatikane.

Basi zinachukuliwa nguo zake alizoziacha nyumbani (kama zipo), mkuki wake au chochote alichokiacha au kuokotwa nacho au mchango wa kitanda chache na kuombolezwa na kumzika kiroho na kupumzisha roho yake rasmi kama mfu.

Katika tamaduni yetu kama mtu huyo aliuwawa na mtu kwa hila, mazingaombwe, kwa ulozi na ushirikina sio mnyama mwitu, ajali halisi au kuzama maji basi "kuvisha" kunaambatana na tambiko la kisasi.

Lakumpata litawapata wote waliohusika na hila hiyo mmoja baada ya mwingine labda kama marehemu aliwachokoza watu hao au aliwafanyia ubaya (aliwaanza).

Yaani aliwaanza/ wachokoza kwa ubaya hapo watapona. Hivi hivi watakwenda kwa namna mlivyotambikia wafe vipi watu hao. Kama tambiko litasema wafe kinamna flani, kupigwa ugonjwa, kufa maji mwambao, Radi, kuliwa na mnyama mwitu au kuwapa maradhi ya kudumu kiukoo ya kuwatesa na kuwaua kidogo kidogo.
 
Kikwetu tunaita "kuvisha". Mtu akiuwawa kwa hila au akiuwawa porini, ziwani au baharini na maiti yake isipatikane.

Basi zinachukuliwa nguo zake alizoziacha nyumbani (kama zipo), mkuki wake au chochote alichokiacha au kuokotwa nacho au mchango wa kitanda chache na kuombolezwa na kumzika kiroho na kupumzisha roho yake rasmi kama mfu.

Katika tamaduni yetu kama mtu huyo aliuwawa na mtu kwa hila, mazingaombwe, kwa ulozi na ushirikina sio mnyama mwitu, ajali halisi au kuzama maji basi "kuvisha" kunaambatana na tambiko la kisasi.

Lakumpata litawapata wote waliohusika na hila hiyo mmoja baada ya mwingine labda kama marehemu aliwachokoza watu hao au aliwafanyia ubaya (aliwaanza).

Yaani aliwaanza/ wachokoza kwa ubaya hapo watapona. Hivi hivi watakwenda kwa namna mlivyotambikia wafe vipi watu hao. Kama tambiko litasema wafe kinamna flani, kupigwa ugonjwa, kufa maji mwambao, Radi, kuliwa na mnyama mwitu au kuwapa maradhi ya kudumu kiukoo ya kuwatesa na kuwaua kidogo kidogo.
Safi sana
 
Bila shaka yoyote ile sasa ni dhahiri kwamba Ben Saanane alikwishauawa kikatili, na ni dhahiri kwamba Maiti yake ilitupwa (Rejea Kitabu kinachouzwa kwa kasi cha shujaa Kabendera)

Ninaamini kwenye dini zote upo utaratibu wa kuwazika kiroho Marehemu ambao wamethibitika kufariki lakini Miili yao haikupatikana, kwa maana ya kufa kwa ajali ya moto ama kuliwa na Mamba au hata majanga mengine yanayoweza kusababisha mwili wa marehemu kutopatikana.

Ndio Maana nimeuliza ni lini Chadema pamoja na Familia ya Marehemu Ben Saanane itaitisha kusanyiko kwa ajili ya kutoa heshima za mwisho za hayati huyo ambaye sasa imethibitika kwamba Hatunaye.

Namuomba Mwenyezi Mungu aipokee Roho yake, Amina.
Muulize mwenyekiti wako Mbowe labda anajua lini😁
 
Yani mtu akaechini atungehadisiyake alafu watuwamuamini nakufanya mazishi ya kiroho?.

Ichokitabu nihadisikama hadisinyingine kwasababu hakinaushahisi wowote wa tuhuma zilizomo humo.

Nimaneno yakuambiwatu nawatu ambao hatamajinayao hayajulikani, nimjingatu ndio ataamini hayomaandishi nakufanya mazishi aumatanga kwasababu ya kitabu chakutunga.



Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom