Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
Inasikitisha sana Mabaki watafutwe na kupandishwa kwa PILATO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wote wanafahamikaInasikitisha sana Mabaki watafutwe na kupandishwa kwa PILATO
AmenRest in eternal peace Mama yake Kabendera.
Rest in eternal peace Ben Saanane.
Hata wewe unaweza kusema haya Leo? Kweli Lissu kawashika pabaya.Chadema siyo Mbowe
Katiba haisemi Chadema ni mtu binafsi, Hata huyo Lissu siyo CHADEMAHata wewe unaweza kusema haya Leo? Kweli Lissu kawashika pabaya.
Wewe ni mjinga kweli. Shujaa? Yaani mtu mpumbavu kama wewe anawezaje kuwa shujaa.?Bila shaka yoyote ile sasa ni dhahiri kwamba Ben Saanane alikwishauawa kikatili, na ni dhahiri kwamba Maiti yake ilitupwa (Rejea Kitabu kinachouzwa kwa kasi cha shujaa Kabendera)
Ninaamini kwenye dini zote upo utaratibu wa kuwazika kiroho Marehemu ambao wamethibitika kufariki lakini Miili yao haikupatikana, kwa maana ya kufa kwa ajali ya moto ama kuliwa na Mamba au hata majanga mengine yanayoweza kusababisha mwili wa marehemu kutopatikana.
Ndio Maana nimeuliza ni lini Chadema pamoja na Familia ya Marehemu Ben Saanane itaitisha kusanyiko kwa ajili ya kutoa heshima za mwisho za hayati huyo ambaye sasa imethibitika kwamba Hatunaye.
Namuomba Mwenyezi Mungu aipokee Roho yake, Amina.