Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Baada ya kivuko kupata changamoto, wasajiriamali wamejiongeza, huu ndio usafiri wa dharura huko Kigamboni kwa ambao wanaona darajani ni mbali. Mitano tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uyo bakharesa ndiye anaehujumu Uchumi wanaharibu kwa makusudi ili wajukuu zake waingize vivuko wapige pesa. Usalama wa Taifa wamebaki kuuza mahindi tu.Usafiri hatarishi sana huu.
Abiria Hawana lifejackets na chombo kimeoverload. Mcheki jamaa wa nyuma karibia anagusa maji.
Serikali inataka utokee ajali ndiyo wapoge marufuku. Si wampe Bahresa kazi kama wao wameshindwa asee?
zile story za boat kuzama naona tunazitafuta kwa nguvuBaada ya kivuko kupata changamoto, wasajiriamali wamejiongeza, huu ndio usafiri wa dharura huko Kigamboni kwa ambao wanaona darajani ni mbali.
Mitano tenaView attachment 3021406
Ila ungeendelea kuwepo Tungekua mbele miaka 25😣Tumerudi nyuma miaka 25.
Yawezekana ndo mpango walionaoUsafiri hatarishi sana huu.
Abiria Hawana lifejackets na chombo kimeoverload. Mcheki jamaa wa nyuma karibia anagusa maji.
Serikali inataka utokee ajali ndiyo wapoge marufuku. Si wampe Bahresa kazi kama wao wameshindwa asee?
Hivi hapo wameshindwa kabisa kujenga daraja la juu, au hata la kufunga na kufungua?
Naona kama kule Kurasini ni mbali sana na mjini.
Kulikuwa na umuhimu gani wa kujenga daraja la Tanzanite kabla ya Magogoni?
Hiyo mitumbwi siwezi kupanda hata kidogo.Baada ya kivuko kupata changamoto, wasajiriamali wamejiongeza, huu ndio usafiri wa dharura huko Kigamboni kwa ambao wanaona darajani ni mbali. Mitano tena
View attachment 3021406