Baada ya kuachana na mnyonyaji Said Fella, Aslay asukuma ndinga la maana

Baada ya kuachana na mnyonyaji Said Fella, Aslay asukuma ndinga la maana

kwahiyo mtoto wa watu umemdanganya na kumpotezea muda wake? Basi ni vema ungeweka mambo wazi angeweza kujipaga kivingine maana huwezi jua fursa ngapi ulizompotezea. Wapo tuliokuwa tunamhitaji kwa malengo mazuri ya kujenga familia na ndoa hapo badae lakini kama umemchukua kwa ajili ya sababu flaniflani ili uweze kuneemeka kwa mgongo wake sio FAIR nadhani ni dhambi......Haya mahusiano wengine tupo serious, ila watu kama nyie mnatukatisha tamaa. Na mbaya zaidi hao wanawake mnaowachezea ni wazuri mno tu yani wife materials ila mnawachukulia poa mkishawaweka kibindoni na siku mkiwapoteza mnakuja kulilia hapa JF.

Acha kumdanganya mtoto wa watu, kama huna dhamira serious ni vema ukaweka wazi. Watu tunatafuta wanawake wenye vision na akili kama wewe hukioni hicho kwa uliyenaye maana unaonyesha una gubu la level ya PhD. Maandishi yako tu yanaonyesha wewe ni mtu usiyeridhika ndio maana mkeo hakutaka kurudi na bado ukatafuta mke mwingine ambaye inaonyesha umeshampata lakini bado hujaridhika kwasababu ya gubu lako.......

nakuhakikishia hata kama umempata demu wa aina gani ipo siku atakuchoka sio kwa gubu hilo na uandishi wako wa kejeli ......BADILIKA KAKA, DUNIA HAIPO KWA AJILI YA TAMAA ZAKO TU.....
Nilitaka kumfahamu mtu humu ndani ndo nikawa na comment kiuchokoz,sasa nimeshamjua.
 
Aisee,nimeshindwa kukuelewa ila nimefuatilia post na comments zako nimepata kitu.Sasa ni wapi nimesa nimepata mtu? Ni wapi nimesema nampotezea mtu muda? Umenihukumu kwamba nampotezea muda,ni nani huyo? Wewe ni ke au me? Hapa naona unachofanya ni innuendo na slander.Kama hutajali,najua una contacts zangu,kama unahisi unaweza kunishauri chochote chenye mashiko fanya hivyo privately,vinginevyo unashambulia personality yangu.
kwahiyo hujapata mtu na bado unatafuta? mwanaume huridhiki wewe. Unadhani hujulikani. Wewe si ushapata mtu tena unaishi naye kwako? comments zako kadhaa zinaonyesha unaishi na mwanamke... au sio wewe ? Kaka acha kumpotezea binti wa watu muda, mwanamke bado mdogo tu na watu kibao wanammendea ila kaamua kutulia kwako lakini huachi gubu kutwa kumnyima raha binti wa watu. Binti kajitoa sana kwako, hivi usawa huu utatoa wapi mwanamke asiyependa makuu.....kama vipi mpige kibuti tumuibukie
 
kwahiyo hujapata mtu na bado unatafuta? mwanaume huridhiki wewe. Unadhani hujulikani. Wewe si ushapata mtu tena unaishi naye kwako? comments zako kadhaa zinaonyesha unaishi na mwanamke... au sio wewe ? Kaka acha kumpotezea binti wa watu muda, mwanamke bado mdogo tu na watu kibao wanammendea ila kaamua kutulia kwako lakini huachi gubu kutwa kumnyima raha binti wa watu. Binti kajitoa sana kwako, hivi usawa huu utatoa wapi mwanamke asiyependa makuu.....kama vipi mpige kibuti tumuibukie
Nyie watu mnafahamiana kabisa yani mnachekesha kweli
 
Cha ajabu ameharibu uzi,kageuza uzi kuwa wa kunishambulia mimi wakati mleta uzi alikuwa anamzungumzia Aslay.
 
m

Cha ajabu ameharibu uzi,kageuza uzi kuwa wa kunishambulia mimi wakati mleta uzi alikuwa anamzungumzia Aslay.
comments zako za kipuuzi ndo zimenifanya nikushambulie......kuna siku ulileta thread hapa kwamba mkeo kalala kwa watoto then leo unasema hujapata mtu wakati ulitafuta mtu hapahapa JF then unamkana mtoto wa watu. Acha ujinga kumkana mwenzio wewe! nyie ndo mnakuja hapa mnajifanya mpo single mnatafuta wachumba kumbe miyeyusho.....punguza gubu
 
m


comments zako za kipuuzi ndo zimenifanya nikushambulie......kuna siku ulileta thread hapa kwamba mkeo kalala kwa watoto then leo unasema hujapata mtu wakati ulitafuta mtu hapahapa JF then unamkana mtoto wa watu. Acha ujinga kumkana mwenzio wewe! nyie ndo mnakuja hapa mnajifanya mpo single mnatafuta wachumba kumbe miyeyusho.....punguza gubu
Jf bwana ni virtual world flani ukichagua kuishi ndani yake unaweza chekesha
 
m


comments zako za kipuuzi ndo zimenifanya nikushambulie......kuna siku ulileta thread hapa kwamba mkeo kalala kwa watoto then leo unasema hujapata mtu wakati ulitafuta mtu hapahapa JF then unamkana mtoto wa watu. Acha ujinga kumkana mwenzio wewe! nyie ndo mnakuja hapa mnajifanya mpo single mnatafuta wachumba kumbe miyeyusho.....punguza gubu
Kwanza nini maana ya gubu? Pili ni post ipi niliposemabsijapata mtu? Halafu mbona umetokwa na povu jingi sana kiasi hicho?
 
Jf bwana ni virtual world flani ukichagua kuishi ndani yake unaweza chekesha
Inachekesha sana,mtu anamlisha mwingine maneno,halafu anayatumia maneno hayo kumhukumu mwingine! Ndo maana nikasema haya ni mambo ya jf.
 
m


comments zako za kipuuzi ndo zimenifanya nikushambulie......kuna siku ulileta thread hapa kwamba mkeo kalala kwa watoto then leo unasema hujapata mtu wakati ulitafuta mtu hapahapa JF then unamkana mtoto wa watu. Acha ujinga kumkana mwenzio wewe! nyie ndo mnakuja hapa mnajifanya mpo single mnatafuta wachumba kumbe miyeyusho.....punguza gubu
Mkuu ayanda ni nani huyo kadanganyika humu?
 
Kwanza nini maana ya gubu? Pili ni post ipi niliposemabsijapata mtu? Halafu mbona umetokwa na povu jingi sana kiasi hicho?
Wewe unajulikana kwa comments zako za kishenzi...unawachukulia wanawake kama toy flani hivi bila kujua kwamba nao ni binadamu wana hisia sawa na wanaume. Unaonyesha wazi ni mtu mwenye kisirani. Ulishasema mkeo kaondoka then ukaja hapa unatafuta mchumba then badae ukaja na stori za mwanamke wako kulala kwa watoto then leo unasema huoni haja ya kuoa unachofanya unagonga tu na kusepa...... huu ni ubwazwazwa wa kiume ambao ni ukatili kwa wanawake....kima weeee...isitoshe unatongoza mademu hapa JF na kwenye tangazo lako la kutafuta mchumba ulisema etu wewe ni mwanaume wa makamo kwa maana upo kwenye miaka ya 39 hadi 40 na ushee huko lakini unakua kama vile ulibalehe juzi....BADILIKA
 
Fella kasaidia sana kuwaibua na kuwakuza vijana hawa,lazima apewe credit .Kama alikuwa anawalipa kidogo siyo issue,dunia ya leo ni scratch my back ,I scracth yours,hakuna namna ambayo leo hii mtu atakubeba na asifaidike na kazi unayoifanya.Kama Aslay kapata matunzo na faida zaidi kuliko kwa Fella ni suala zuri lkn halitoshi kumpuuza Fella.
 
Msanii huyo ameandika haya...

"Alhamdulillah Asantee Mungu kwa hiki ulichonipa naishukuru management yangu Chambusso na Mxcarter, nakupenda Mama yangu kokote ulipo kila hatua dua 'new car' Umma unaongea"


Fella ndo pathfinder wa Aslay, asimnyooshee kidole cha ubaya. Hatakuwa na tofauti na Saida Kalori alipomnyooshea kidole cha ubaya Mutahaba siku zile.
 
Msanii huyo ameandika haya...

"Alhamdulillah Asantee Mungu kwa hiki ulichonipa naishukuru management yangu Chambusso na Mxcarter, nakupenda Mama yangu kokote ulipo kila hatua dua 'new car' Umma unaongea"



Mkuu tungependa kujua na Wewe la Kwako labda ni la aina gani ili tuweze kulithaminisha na Aslay na Mkubwa Fella.
 
Wewe unajulikana kwa comments zako za kishenzi...unawachukulia wanawake kama toy flani hivi bila kujua kwamba nao ni binadamu wana hisia sawa na wanaume. Unaonyesha wazi ni mtu mwenye kisirani. Ulishasema mkeo kaondoka then ukaja hapa unatafuta mchumba then badae ukaja na stori za mwanamke wako kulala kwa watoto then leo unasema huoni haja ya kuoa unachofanya unagonga tu na kusepa...... huu ni ubwazwazwa wa kiume ambao ni ukatili kwa wanawake....kima weeee...isitoshe unatongoza mademu hapa JF na kwenye tangazo lako la kutafuta mchumba ulisema etu wewe ni mwanaume wa makamo kwa maana upo kwenye miaka ya 39 hadi 40 na ushee huko lakini unakua kama vile ulibalehe juzi....BADILIKA
Mkuu umekasirika sana aisee msamehe bure.
Ila samahani wewe ni me au ke.
Sina nia mbaya nauliza in good faith ili nipate kujua kwanini umekasirika kiasi hiki.
 
Back
Top Bottom