balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Nilitaka kumfahamu mtu humu ndani ndo nikawa na comment kiuchokoz,sasa nimeshamjua.kwahiyo mtoto wa watu umemdanganya na kumpotezea muda wake? Basi ni vema ungeweka mambo wazi angeweza kujipaga kivingine maana huwezi jua fursa ngapi ulizompotezea. Wapo tuliokuwa tunamhitaji kwa malengo mazuri ya kujenga familia na ndoa hapo badae lakini kama umemchukua kwa ajili ya sababu flaniflani ili uweze kuneemeka kwa mgongo wake sio FAIR nadhani ni dhambi......Haya mahusiano wengine tupo serious, ila watu kama nyie mnatukatisha tamaa. Na mbaya zaidi hao wanawake mnaowachezea ni wazuri mno tu yani wife materials ila mnawachukulia poa mkishawaweka kibindoni na siku mkiwapoteza mnakuja kulilia hapa JF.
Acha kumdanganya mtoto wa watu, kama huna dhamira serious ni vema ukaweka wazi. Watu tunatafuta wanawake wenye vision na akili kama wewe hukioni hicho kwa uliyenaye maana unaonyesha una gubu la level ya PhD. Maandishi yako tu yanaonyesha wewe ni mtu usiyeridhika ndio maana mkeo hakutaka kurudi na bado ukatafuta mke mwingine ambaye inaonyesha umeshampata lakini bado hujaridhika kwasababu ya gubu lako.......
nakuhakikishia hata kama umempata demu wa aina gani ipo siku atakuchoka sio kwa gubu hilo na uandishi wako wa kejeli ......BADILIKA KAKA, DUNIA HAIPO KWA AJILI YA TAMAA ZAKO TU.....