middle east
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 1,308
- 1,690
Aliyekwambia chupi hatumii nani????......kazi na dawa mzee babaSafiii sanaa Aslay yanii Katika wasaniii wanaojielewaaa Wewe Namba mojaaa...!! Nakukubali sanaa...Hayo ndo maendeleo unayostahilii...achana na chupii hazinaa maana
Hata ukitaka 0713 unapata.
alafu raha ya kutokuoa unapata ukitakacho...ukitaka black and fat unapata..ukitaka ebony unapata.ukitaka slander
ukitaka mtoto unapata
kabisa yani.Safi sana Jomba.Kuoa ni upuuzi flani hivi..mimi si support kabisa
kuoa sio jambo la msingi sana..Unaoa ili upate nini? wakati vitu vyote unaweza pata bila huko kuoa
Daaah....hili swali hata Mbowe alishindwa kulijibu !Nyumba na gari vyote Ni liabilities tu.
Labda useme ipi ndio liability yenye nafuu.
Mkuu zote ni asset ....asset pia zimegawanyika .....unataka kuniambia gari ni liabilities ????
Fela aliwajengea nyumba na akawakabidhi. Sasa kati ya aliyewajengea nyumba na aliyemnunulia gari ni nani mwenye msaada? Kati ya nyumba na gari ipi ni asset na ipi ni liability?
Kama wawekezaji wa Barick....Mi sidhani kama Fella ni mnyonyaji kihiivyo kama watu wanavyosema isipokuwa labda mchizi anapiga % kubwa au anaenda 50 -50
aisee basi utakuwa popoma.i go for what i want..always.UNAWEZA UKAPATA KUMBE NDIO UMEKOSA ,NA PIA UNAWEZA UKAKOSA KUMBE NDIO UMEPATA......
THINK BIG TAKE CONTROL OF YOUR DESTINY
.....hili swali gumu, Mbowe alishindwa kumjibu Slaah (liability vs asset)Gari na nyumba vyote ni asset hamna liability hata moja hapo
NdioMkuu zote ni asset ....asset pia zimegawanyika .....unataka kuniambia gari ni liabilities ????
"Kamuokota shimoni au" in komredis Pole Pole voiceFella ndo aliyemuokota.
Nini maana ya liability???Ndio
Mtambo wa kutafuna fedha ambao una depreciate exponentiallyNini maana ya liability???
Sasa mbona unataka kulionea gari kama ndio kitu pekee kinachoweza kusababisha kifo?!Nimewahi kuona,mm nilijikita kwenye gar
Kwan house haina depreciation ???Mtambo wa kutafuna fedha ambao una depreciate exponentially
Gari ni non current asset mzee ....zote hizo ........gari mda wowote waweza kuiuza na kupata cash ....Mtambo wa kutafuna fedha ambao una depreciate exponentially
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Hata Ali Kiba hana hiyo. Aslay mtafutie management na huyu mzee, umuokoe.
X6Alikiba nadhani ana bmw x5
Hapana thamani yake inaongezeka kutoka dakika ulionunua kiwanja na ndio maana wataalamu wanaiita " Real property"Kwan house haina depreciation ???
Unaoa ili upate ndoa. Bila kuoa hupati ndoa!kuoa sio jambo la msingi sana..Unaoa ili upate nini? wakati vitu vyote unaweza pata bila huko kuoa
ndoa inasaidia nini?Unaoa ili upate ndoa. Bila kuoa hupati ndoa!