Baada ya kuambiwa TCD inatumika kwa manufaa binafsi, Admin aifunga akaunti ya TCD Twitter

Baada ya kuambiwa TCD inatumika kwa manufaa binafsi, Admin aifunga akaunti ya TCD Twitter

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
TCD inaundwa na vyama vitano CCM, Chadema, NCCR-Mageuzi, CUF na ACT-Wazalendo. TCD imesajiliwa kama NGO non Partisan lkn inahudumiwa kwa pesa za Umma. Uongozi wake niwa mzunguko wa kipindi cha miezi 6, kipindi hiki uongozi uko chini ya chama cha ACT-Wazalendo chini ya Kiongozi wao Mkuu Zitto Kabwe. ACT walitakiwa wakabidhi ofisi kwa CCM tangu trh 25 February.

Leo kwenye mitandao ya kijamii hasa Twitter kumekuwa na majibizano kati ya members na Adimin wa akaunti ya TCD, baada ya Admin kubanwa kwa maswali akapost picha ya Zitto yenye maneno Foward Forever. Backward Never. Unity is Power.

F0DB336B-DA57-4381-95CE-F0ECDD3B5AB1.jpeg

Baada ya kuambiwa wanaitumia TCD personal admn kaifunga akaunti.

F15AF281-5987-41C0-A767-CA877FDE9F01.jpeg
 
TCD inaundwa na vyama vitano CCM, Chadema, NCCR-Mageuzi, CUF na ACT-Wazalendo, uongozi wake niwa mzunguko wa kipindi cha miezi 6, kipindi hiki uongozi uko chini ya chama cha ACT-Wazalendo chini ya Kiongozi wao Mkuu Zitto Kabwe.

Leo kumekuwa na majibizano kati ya members wa Twitter na Adimin wa akaunti ya TCD, baada ya Admin kubanwa kwa maswali akapost picha ya Zitto yenye maneno Foward Forever. Backward Never. Unity is Power.

View attachment 2156260
Baada ya kuambiwa wanaitumia TCD personal admn kaifunga akaunti.

View attachment 2156280
Admin wetu ndugu Zitto wacha woga😀
 
TCD inaundwa na vyama vitano CCM, Chadema, NCCR-Mageuzi, CUF na ACT-Wazalendo, uongozi wake niwa mzunguko wa kipindi cha miezi 6, kipindi hiki uongozi uko chini ya chama cha ACT-Wazalendo chini ya Kiongozi wao Mkuu Zitto Kabwe.

Leo kwenye mitandao ya kijamii hasa Twitter kumekuwa na majibizano kati ya members na Adimin wa akaunti ya TCD, baada ya Admin kubanwa kwa maswali akapost picha ya Zitto yenye maneno Foward Forever. Backward Never. Unity is Power.

View attachment 2156260
Baada ya kuambiwa wanaitumia TCD personal admn kaifunga akaunti.

View attachment 2156280
Reconciliation session postponed due to Venue disagreement.....
 
Namshauri Zitto angeachia hiyo nafasi hata kama muda wake haujaisha ili aishi kwa amani.

Nionavyo uwepo wa hii TCD ni unafiki tu, na hii ndiyo inayotumiwa na CCM kwa manufaa yake kwa kuwapanga wapinzani wasiojielewa ili kulinda maslahi ya watawala kwa kutuliza njaa za baadhi ya wapinzani.

Naamini huko mbele ya safari kama hali itaendelea kubaki kama ilivyo sasa hii TCD inaenda kufa, itabaki na uwakilishi wa vyama vichache marafiki wa CCM matokeo yake jamii itapuuza uwepo wake.
 
Nashauri CDM wapambane wakiwa ndani ya hiyo TCD, kila mbinu na fursa itumike kulitoa taifa katika mfumo Giza wa mfalme mwenyekiti wa CCM.

Mambo ya kususia hayana tija dunia ya leo.
 
Namshauri Zitto angeachia hiyo nafasi hata kama muda wake haujaisha ili aishi kwa amani.

Nionavyo uwepo wa hii TCD ni unafiki tu, na hii ndiyo inayotumiwa na CCM kwa manufaa yake kwa kuwapanga wapinzani wasiojielewa ili kulinda maslahi ya watawala kwa kutuliza njaa za baadhi ya wapinzani.

Naamini huko mbele ya safari kama hali itaendelea kubaki kama ilivyo sasa hii TCD inaenda kufa, itabaki na uwakilishi wa vyama vichache marafiki wa CCM matokeo yake jamii itapuuza uwepo wake.
Kuna vyama havijawahi kushiriki hata uchaguzi mmoja ndivyo vya kwanza kudai reconciliation.
 
“Kituo kinaomba radhi kwa chochote kilichotokea ambacho kimewakwaza kuhusu akaunti hii, kilichotokea ni nje ya uwezo wetu, akaunti iliingiliwa na mtu asiye na Nia njema. Asanteni”. TCD.

C1ED3F15-2DC7-4308-ADE9-470AB90BDAA0.jpeg
 
Hiyo TCD inapaswa ituoneshe faida za uwepo wake na watanzania wananufaika na uwepo wao.

Isije kuwa ni CCM C hiyo.
 
Back
Top Bottom