barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Habarini!
Mimi ni mshabiki wa Simba Sports Club, ningependa kwemda moja kwa moja kwenye mada kuwa uongozi wa Simba kwa kweli walikurupuka kumsajili Niyonzima. Mpaka sasa kwa kweli sijaona mpira wowote akicheza kuisaidia Simba. Wanamuita pass master ila pasi zake ni sideways zaidi ya forwards.
Ni ukweli usiopingika kuwa Niyonzima alisajiliwa kwa shinikizo la kuvutia tu mashabiki wa Simba kuwa wanachukua mchezaji wa Yanga ambaye kwa misimu kadhaa alikuwa mchezaji wao bora.
Kibaya zaidi kinaniumiza ni Niyonzima (mrwanda) kaja waharibia namba za kudumu watanzania (Ndemla na Mzamiru) ambao kwa kweli walikuwa wanaanza kuchipuka!
Mzamiru na Ndemla wa Simba ni wazuri mara nne ya Niyonzima wa Simba.
Inasikitisha sana, nimekuwa nampa muda ila kwa kweli haoneshi kiwango kipya chochote, pia hakuhitajika Simba maana nafasi zake zilikiwa zina watu tayari wanazitendea haki.
Matokeo ya leo nimeyapokea kwa moyo mkunjufu, kama ni kuweka mkeka kwa kweli niliiona droo ni wiki sasa!
Mimi ni mshabiki wa Simba Sports Club, ningependa kwemda moja kwa moja kwenye mada kuwa uongozi wa Simba kwa kweli walikurupuka kumsajili Niyonzima. Mpaka sasa kwa kweli sijaona mpira wowote akicheza kuisaidia Simba. Wanamuita pass master ila pasi zake ni sideways zaidi ya forwards.
Ni ukweli usiopingika kuwa Niyonzima alisajiliwa kwa shinikizo la kuvutia tu mashabiki wa Simba kuwa wanachukua mchezaji wa Yanga ambaye kwa misimu kadhaa alikuwa mchezaji wao bora.
Kibaya zaidi kinaniumiza ni Niyonzima (mrwanda) kaja waharibia namba za kudumu watanzania (Ndemla na Mzamiru) ambao kwa kweli walikuwa wanaanza kuchipuka!
Mzamiru na Ndemla wa Simba ni wazuri mara nne ya Niyonzima wa Simba.
Inasikitisha sana, nimekuwa nampa muda ila kwa kweli haoneshi kiwango kipya chochote, pia hakuhitajika Simba maana nafasi zake zilikiwa zina watu tayari wanazitendea haki.
Matokeo ya leo nimeyapokea kwa moyo mkunjufu, kama ni kuweka mkeka kwa kweli niliiona droo ni wiki sasa!