Baada ya Kuangukia pua kwa Ester Kahumbi wa BBC,Naombeni Connection ya Black Beauty wa Nigeria anaitwa SIMI

Baada ya Kuangukia pua kwa Ester Kahumbi wa BBC,Naombeni Connection ya Black Beauty wa Nigeria anaitwa SIMI

Hongereni na Harakati Wakuu..

Baada ya kumkosa mtoto wa Kikenya na Mtangazaji wa BBC Ester Kahumbi Baada ya kuwa kumbe ameshaolewa na lijamaa huko kwao,nimekuja na ombi la connection..

Kuna mtoto wa Ki Nigeria anaitwa SIMI kwa jina la Kazi ya biashara huwa namuelewa Sana.

Mdada ni black beauty fulani amazing na mjanja mnjanja hivi lakini kisu Sana..Pamoja na kwamba Huwa sipendi maisha ya wasanii na vituko vyao ila kwa huyu itabidi nijikaze maana kizuri kula na mwenzio..

Mwenye habari zake na connection tafadhari tuwasiliane Ili nione alternative na namna ya kufanikisha dili ya kung'oa hii mali adimu..

Thank you in advance [emoji116]
Na hapo kwa Simi lazima uangukie pua na uburuzike kinoma. Nenda buza huko katafute mtoto mmoja mvalishe apendeze, mpige pesa anakuwa poa sana kuliko hata Ester na huyo Simi.
 
Adekunle Gold atakuua wewe, ni mwanamziki mwezie wanamtoto anaitwa Deja wa kike, mimi hua namfuatilia napenda nyimbo zake kama Ayo na Aimasiko
 
Endelea kuunga mkono Juhudi za mama Madem wakali utazidi kuwaonea Channel ten au wasafi TV.


Simi Mme wake ni Adekunle Gold jiandae kufukunyuliwa Utumbo mpana
 
Na hapo kwa Simi lazima uangukie pua na uburuzike kinoma. Nenda buza huko katafute mtoto mmoja mvalishe apendeze, mpige pesa anakuwa poa sana kuliko hata Ester na huyo Simi.
Umenena,ni pesa zinazotufanya tusing'ae
 
Back
Top Bottom