Webabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 8,870
- 14,258
Kufuatia kuuliwa kwa kiongozi mkuu wa Hamas hapo juzi,raisi Erdogan wa Uturuki amempigia simu raisi Biden na kutoa onyo kwa kusema kama ifuatavyo na kama ilivyoripotiwa na Aljazeera
Turkey’s leader Recep Tayyip Erdogan in a phone call with US President Joe Biden says Israel’s killing of Hamas leader Ismail Haniyeh “dealt heavy blow to ceasefire” talks, shows Netanyahu government wants “fire in Gaza” to spread regionally.
Tamko lake hilo linafuatiwa na kauli yake ya wiki iliyopita baada ya kuona uonevu dhidi ya Palestina umepitiliza mipaka aliposema kuwa nchi yake itaingia Israel ili kuwasaidia wapalestina.
Kama mfuatiliaji wa vita hivi kwa muda mrefu tangu juzi nywele zimekuwa zikinisisimka na uzoefu wangu kuna kitu kikubwa kitatokea hapo Israel na mashariki ya kati muda si mrefu kutokana na vita hivi.
Kwa vile hukumu za mahakama na maazimio ya umoja wa mataifa yameshindwa kuizuia Israel kufanya mauwaji mabaya kwa wapalestina vikao hivyo havitokuwa na wa kuvisikiliza tena.
Turkey’s leader Recep Tayyip Erdogan in a phone call with US President Joe Biden says Israel’s killing of Hamas leader Ismail Haniyeh “dealt heavy blow to ceasefire” talks, shows Netanyahu government wants “fire in Gaza” to spread regionally.
Tamko lake hilo linafuatiwa na kauli yake ya wiki iliyopita baada ya kuona uonevu dhidi ya Palestina umepitiliza mipaka aliposema kuwa nchi yake itaingia Israel ili kuwasaidia wapalestina.
Kama mfuatiliaji wa vita hivi kwa muda mrefu tangu juzi nywele zimekuwa zikinisisimka na uzoefu wangu kuna kitu kikubwa kitatokea hapo Israel na mashariki ya kati muda si mrefu kutokana na vita hivi.
Kwa vile hukumu za mahakama na maazimio ya umoja wa mataifa yameshindwa kuizuia Israel kufanya mauwaji mabaya kwa wapalestina vikao hivyo havitokuwa na wa kuvisikiliza tena.