Miss_Mariaah
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 2,176
- 4,979
Nilipima MkuuUlipima kabla hujabadilisha?
Na wamekupa lens ipi?
Je, mwanzo ulikuwa unavaa lens namba ipi?
Jitahidi ujiridhishe kwa kupima hospital zaidi ya moja, na vipimo hakikisha havipishani sana, na pima vipimo vyote yaani computer na manual .
Pole sana,
Meza pain killer,ama kama una dawa ya macho ya kuweka basi itumie.
Ahsante nliandikiwa dawa ya matone nkiweka tu macho ndo yanazid kuuma inachochea maumivuUlipima kabla hujabadilisha?
Na wamekupa lens ipi?
Je, mwanzo ulikuwa unavaa lens namba ipi?
Jitahidi ujiridhishe kwa kupima hospital zaidi ya moja, na vipimo hakikisha havipishani sana, na pima vipimo vyote yaani computer na manual .
Pole sana,
Meza pain killer,ama kama una dawa ya macho ya kuweka basi itumie.
Tofauti na usa/europe, dakitari mbongo lazima akuandikie zigo la dawa.Ulipima kabla hujabadilisha?
Na wamekupa lens ipi?
Je, mwanzo ulikuwa unavaa lens namba ipi?
Jitahidi ujiridhishe kwa kupima hospital zaidi ya moja, na vipimo hakikisha havipishani sana, na pima vipimo vyote yaani computer na manual .
Pole sana,
Meza pain killer,ama kama una dawa ya macho ya kuweka basi itumie.