Baada ya kudhulumiwa hela zake, Sven Vandbroek (Kishingo) aishitaki Timu ya Simba FIFA

Baada ya kudhulumiwa hela zake, Sven Vandbroek (Kishingo) aishitaki Timu ya Simba FIFA

Tatizo aliondoka baada ya kufanya mazungumzo na Mohammed na ceo wa Simba halafu taarifa ikatolewa, ile bodi ya Simba ni kama kivuli. Simba inatakiwa imbane kwa kudanganya kumbe alishapata timu.
Si ndio hapo,mi nilidhani alifuata maslahi huko Morocco,si ajabu anajuta kusepa kwani hakutegemea kama timu ingefika hapa kwenye klabu bingwa Afrika na sasa hv ipo pazuri pia VPL
 
Ilo ni shauri ngoja tusikilizie maamuzi ya kesi sasa maana ikumbukwe sven ndio kavunja mkataba
 
Ww hiyo pesa Kama mwanachama mara mwisho umechanga lini?
Pesa ndefu zote.kutoka caf zimaingia kwa MO ww endelea kupiga vuvuzela maamuma
acha kudandia mada usiyoelewa ,,mwenzako kasema simba haina Bank account ndio nikamjibu,,nawewe ujue simba haipokei pesa kutoka caf peke ake chaudere wewe na hakuna unalojua kuhusu biashara ya mpira kaa kimya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom