Baada ya kufanya naye ngono namuona mbaya na si 'type' yangu

Baada ya kufanya naye ngono namuona mbaya na si 'type' yangu

Kuna kidemu nilikipenda kanisani kwa kuwa niliishapita nao wengi sana hicho kidemu kikawa kinataka tugegedane kabla ya ndoa nikakiambia ukweli kwa vile nakupenda tusugegedane mpaka ndoa nikakisihi kivumilie kwa muda mfupi maana nilikwisha amua nifanye faster nikioe chenyewe kikaona nakichelewesha kikampata mtoto wa mchunguji si akakisugua mama weeee! Mapenzi si yakahamia kwa mtoto wa mchungaji mimi hakikunitaka tena! Nikalia nacho sana mwisho nikakata tamaa , nikikakiacha kumbe kilijua kinaolewa na mtoto wa mchungaji, kumbe yule kijana akitaka kupunguza nyege tu! Siku ya siku kilishangaa ndoa inatangazwa kati ya yule kijana wa mchungaji na binti mwingine tofauti tena siyo wa mkoa huu alichizi akaanza kutuma mpaka wachungaji kunibembeleza lakini nafasi yake ilikuwa haipo tena, na sasa kimeolewa na jamaa yake wa zamani na kilihamishwa mkoa kwa hiyo jamaa yupo Rufiji chenyewe kipo dodoma juzi kinanipigia simu eti! Toka wafunge ndoa mwezi wa 10 mme wake akaondoka kwenda kazini kwake hajarudi tena na hajui shida ni nini? Eti! Anaomba aje kunisabahi kwangu na kurudi nimemjibu hapo mwanzo ulikuwa na nafasi ya kuishi na mimi na ukaikataa na ukampa mtu mwingine sasa hata hiyo ya kusabahi mpe huyo huyo ndiyo uliyemchagua, na kuniacha mimi, kwa hiyo kugegeda kabla ya ndoa siyo njema kabisa mkegegedana uwezekano wa kuoana unakuwa ni mdogo sana na hata mkioana basi mtachelewa sana kuoana.
 
mkuu hata mimi inanitokea mara nyingi sana ila huwa ni tamaa za mwili tu na kutaka ku piga chata
 
Kuna demu mmoja nilisha wahi kumwacha dizaini hiyo, nilimwona mbaya nikamtafutia visa nikapiga chini fasta, baada ya mwezi nikajitafakari nikavaa uhusika wa yule msichana jinsi alivyo kuwa ananipenda, nikasema isiwe tabu maana karma ingekuja kuni fck, nikamtafuta nikampa bonge la zawadi, nilimpa zawadi ambayo ilimbadilisha maisha yake yote, na hata kaa anisahau

Wanaume kuna kitu kinaitwa KARMA, Ukimtendea mwanamke na kumuumiza hisia zake ipo siku karma itaku fu.ck
Karma ndo nn mkuu
 
Mungu nisamehe bure!!

Kuna demu nimeangaika Sana kuja kuwa mpenzi wangu.

Nilimkuta ana-date na mkaka flani wakiwa wanaelekea kutangaza uchumba, gafla nikatokea maishani mwake na kubadiri uelekeo huo.

Sifahamu nini kimetokea kabla ya kumgegeda nilivutiwa na binti huyu ,cha ajabu siku aliponipa zawadi ya ushindi mvuto na upendo wote umepotea.

Namuona mbaya and not of my type.
Je hali hii wakuu imewahi kuwatokea? Na vipi ulikabiliana nayo...?
Hii story umejitahidi kutunga hongera sana,
 
Uandishi wako.... Eti Ana date na mkaka!! Seriously? Hizi ni lugha za Kike, dume kumuita dume jenzio mkaka Aaaghh Inatia wasiwasi
Ndo walewale watoto wa kike kasoro matit
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Choz la alulyeachwa lmemgukia. Sbr na yy aachke il ujue maumvu ya kuachwa.
 
Jiandae kukabiliana na taabu katika mahusiano, hutakaa ku settle mpaka umuombe radhi huyo dada na akunjue moyo wake akusamehe vinginevyo utakuwa bachela milele haki nakuapia.
 
Linaitwaje

Linaitwa "gundu". Halikutoki hata ukioshwa na magadi. Utalipwa tu. Kumbuka, si ajabu leo angekuwa anaitwa Mrs au ameshakaribia. Ukamrubuni, ukamwachisha safari yake kabla ya kituo ambacho kilikuwa kariiib kufikia. Leo umemwagia uchafu wako unataka kum- dump like a leftover. Hilo pepo halitakuacha salama.
Nimekuwa na uzoefu. Nilikuwa nafukuzia sana vitoto vya watu vya shue. Sikujua wazazi wao walivyokuwa wanaumia. Sasa, nalipa kwa uchungu. Mara nasikia ; Jana aliruka ukuta wa 8'. Msichana!! Usiogope. Utalipa tu.
 
Shida mademu ..mnamfukuzia wee hadi feelings kutoka kwako kwenda kwake, zinapungua ndio anakubali muende sawa mwisho wa siku ndio yanakuwa yale yale chombo ya matumizi
Note usimwache endelea nae ivyo ivyo adi siku atokee mtu akushinde mbinu amchukue
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Back
Top Bottom