miss_mbeya
JF-Expert Member
- Mar 24, 2015
- 1,072
- 1,021
Si vizuri kumuacha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umeona ee anajibu kwa dharau sijui story ya kutunga hiiUnaonekana unanyodo sana wewe kupitia haya majibu unayojibu, ngoja dawa yako iko jikoni
Inawezekana aiseeumeona ee anajibu kwa dharau sijui story ya kutunga hii
Ulimpa zawadi ganiKuna demu mmoja nilisha wahi kumwacha dizaini hiyo, nilimwona mbaya nikamtafutia visa nikapiga chini fasta, baada ya mwezi nikajitafakari nikavaa uhusika wa yule msichana jinsi alivyo kuwa ananipenda, nikasema isiwe tabu maana karma ingekuja kuni fck, nikamtafuta nikampa bonge la zawadi, nilimpa zawadi ambayo ilimbadilisha maisha yake yote, na hata kaa anisahau
Wanaume kuna kitu kinaitwa KARMA, Ukimtendea mwanamke na kumuumiza hisia zake ipo siku karma itaku fu.ck
Aisee!Kuna demu mmoja nilisha wahi kumwacha dizaini hiyo, nilimwona mbaya nikamtafutia visa nikapiga chini fasta, baada ya mwezi nikajitafakari nikavaa uhusika wa yule msichana jinsi alivyo kuwa ananipenda, nikasema isiwe tabu maana karma ingekuja kuni fck, nikamtafuta nikampa bonge la zawadi, nilimpa zawadi ambayo ilimbadilisha maisha yake yote, na hata kaa anisahau
Wanaume kuna kitu kinaitwa KARMA, Ukimtendea mwanamke na kumuumiza hisia zake ipo siku karma itaku fu.ck
KweliKuna demu mmoja nilisha wahi kumwacha dizaini hiyo, nilimwona mbaya nikamtafutia visa nikapiga chini fasta, baada ya mwezi nikajitafakari nikavaa uhusika wa yule msichana jinsi alivyo kuwa ananipenda, nikasema isiwe tabu maana karma ingekuja kuni fck, nikamtafuta nikampa bonge la zawadi, nilimpa zawadi ambayo ilimbadilisha maisha yake yote, na hata kaa anisahau
Wanaume kuna kitu kinaitwa KARMA, Ukimtendea mwanamke na kumuumiza hisia zake ipo siku karma itaku fu.ck
Hakuna cha "who said so" hapo...acha jeuri na usubiri karma ikutafune n'gombe wehWho said so?
Mmh!,kuna ukweli kwenye hilo?Jiandae kukabiliana na taabu katika mahusiano, hutakaa ku settle mpaka umuombe radhi huyo dada na akunjue moyo wake akusamehe vinginevyo utakuwa bachela milele haki nakuapia.
I can feeli it,imeshawahi kukutokea ukafanyiwa hivyo nni?Unaonekana unanyodo sana wewe kupitia haya majibu unayojibu, ngoja dawa yako iko jikoni
Acha stress zakoUnaonekana unanyodo sana wewe kupitia haya majibu unayojibu, ngoja dawa yako iko jikoni
Tatizo feelings zimeturn off...Si vizuri kumuacha
Kwa jinsi navyojisikia acha tu inipate kama hiyo Issue inaexist...Karma haitokuacha salama mkuu.
Hakuna sababu ya kunitukanaNa mwanao aje afanyanyiwe ulivyo fanya ..... shwain.