Baada ya kufika Moscow leo nimeamua kufuatilia saga la Dr. Shika, kumbe anasema ukweli

Mkuu huyu Mzee hajachanganyikiwa hata Chembe moja ..... Yaani hapo nitapingana na wewe Ukimsikia alivyowabana Polisi mpaka wameshindwa kumtuhumu na kuendelea kukaa naye mbali zaidi wamekubali ajidhamini bado unatia shakaa hapo????
Mkuu tuwekee kidogo alivyowabana mapolisi
 
Mkuu huyu Mzee hajachanganyikiwa hata Chembe moja ..... Yaani hapo nitapingana na wewe Ukimsikia alivyowabana Polisi mpaka wameshindwa kumtuhumu na kuendelea kukaa naye mbali zaidi wamekubali ajidhamini bado unatia shakaa hapo????
Watu wakitulia na wakifikiria kwa umakini hawatajua si wa kawaida huyu mzee.
 
NDO MANA TOKA NIMSIKIE SHIKA. SIKUWAHI KUPOSTI KEBEHI AGAINST HIM.

NAAMINI "USIMDHARAU USIYEMJUA.

MZEE ANA HAIBA YA KISOMI KABISA.
HII NI LESSON
 
NA KWELI YA U SPY SIJAYASIKIA KWA KINYWA CHA SHIKA. ILA LABDA KAFICHA.
 
(In magufuli voice)
 
ni mchana unajua urusi uku miji inatofautiana masaa kwa mtu aliyeko novosibiriskiye na aliyeko sochi au volga wanatofautiana masaa mawili,

hapa moscow ni mchana kawaida saa tisa
Wew nawe wafanyaje hukko au naww spy,

Vipi, hawakuiti nyani?
 
Time will... Yes
 
Usishangae Andrew Chenge akazizungukia hizo hela na akazipiga au ubalozi wa Marekani hapa nchini wakafuatilia kwa undani na akapewa mzingo wake

Hapa leo asubuhi akipiga mihongo...
Dr ana feature ya kisomo
 
Mkuu ina maana alianza kufanya kazi ya udaktari akiwa na miaka 9?
 
Tangu mwanzo wa kuziona zile clips,nilitambua kuwa Dokta HATANII.....ila watanzania ni watu wa kukurupuka sana,hatupendi kufikiri kwa kina.
 
ivi huyu baba ni kweli hana ndugu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…