Baada ya kufika Moscow leo nimeamua kufuatilia saga la Dr. Shika, kumbe anasema ukweli

Akili za Dr. Shika zipo organized sana. Sasa kuna mbegu humu zinambeza sana Dr. Ila muda utasema tu.
 
yaani watu wakkisikia issues za CIA,KGB wanakuwa fascinated,mass hysteria kabisa hii embu jiheshimuni bana,yaani CIA itumie watanzania na wakenya walioingia kama wanafunzi kuipeleleza Russia?Russia??????Russia? Get the hell outta here,hapa bongo kwenyewe wanakuja kwa style za peace corps na issue nyingine za ku volunteer au kutumia watu wlaio katika embassy zao,naomba msome ESPIONAGE STORIES especially za cold war uone jinsi hawa mabwana walivyokuwa wana operate...
Huyu mzee hakuna anayekataa ni genius lakini ameongea uongo muda mrefu mpaka ameanza kuamini uongo and he stands by it
Tafuta hata mtu anayedanganya umri,akiurudia uongo mara nyingi yeye mwenyewe huanza kuuamini.
Jana nime search majina ya hao ma executives wa hiyo kampuni anayosema ni yake,hahahahahahahaha...JUST HAHAHA
For your information,CIA hawana historia ya kuwatupa watu wao kirahisi hata kama ni MOLES ndiyo maana kipindi cha cold war wengi kama Oleg kalugin wali defect to USA NA Kutunzwa vyema,ilihali upande wa pili walio defect from CIA to KGB kama KIM PHILLBY waliishia pabaya hadi kufa sababu Russians hawajali
NARUDIA TENA,HAIWEZEKANI CIA AU NSA WAKAJUA KUNA MTU ANA SIRI ZAO KAJIFICHA TABATA NA HALI ILE YA MAISHA ,SINCE 2000 MTU YUPO TANZANIA KAPIGIKA NYIE MNA FASCINATE TU HAPA,UNAAMBIWA BABA YAKE KAFA IN 2005 HAKWENDA KUZIKA INGAWA ALIKUWA DAR NA HADI LEO AKIPIGA SIMU NYUMBANI ANAWAAMBIA WAMSALIMIE BABA
CAMON GUYS. SINYWI HII CHAI YA RANGI. NOOOOOOOOOO
 
 
Mkuu naona ww leo tukonpamoja sana huu uzi haumeck cense kabsa!!! Haya madunya hata mm siwez kuyala!!!
 
Mkuu naona ww leo tukonpamoja sana huu uzi haumeck cense kabsa!!! Haya madunya hata mm siwez kuyala!!!
unajua uongeaji wa kisomi wa dr shika umewachanganya,hawa wangekutana na yule lecturer aliyedata pale CBE wangekimbia,labda hawajawaji kukutana na vichaa wanaoongea hadi lugha zote za dunia..Mzee kachanganyikiwa sasa imekuja issue ya u SPY ndo imewachanganya wartu kabisa
Mtu unaambiwa alitopea kwenye ulevi akashindwa kumaliza hata masomo huko Russia bado hawaelewi,walahi soma kitabu cha Kalugin utajua hata torture cells za KGB walivyokuwa wana operate ,eti dr shika aliwatoroka KGB
Stupidddddddddddddddddddddddddddddddddd
 
Sio rahisi kujisema kama ni spy..nadhani hapo kwenye hela alificha kazi kutokana na sheria na maadili ya kazi yake
 
Swali: Kwanini Dr Lous Shika amechanganyikiwa au ni mbinu za CCM ilitusahau tukio la Lissu?
Wewe mbulula kweli hapa sio mahala pake hapa hakuna siasa tafuta page mpya anzisha habari zako watu wapandie sasa mambo ya Lissu vipi?
 
Ninaposoma comment Kama hii huwa nashangaa, nadhani ukiwa hujafanya ujasusi wowote kila story utaiona ni movie
 
Le mutuz....!
 
Wewe mbulula kweli hapa sio mahala pake hapa hakuna siasa tafuta page mpya anzisha habari zako watu wapandie sasa mambo ya Lissu vipi?
Hii ni siasa pure, wewe akili yako ndogo huwezi kuelewa mambo haya.

Babu wa Loliondo yuko wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…