Baada ya kufika Moscow leo nimeamua kufuatilia saga la Dr. Shika, kumbe anasema ukweli

Baada ya kufika Moscow leo nimeamua kufuatilia saga la Dr. Shika, kumbe anasema ukweli

Tatizo ni hawa wanaojiita waandishi wa habari hapa Tanzania njaa kali!
Bila bahasha hawaandiki ukweli....Bashite anawawezea vizuri sana.
na sikuizi wana andika habari zake huku wakitumia kale ka propaganda et KAA... USIWE KAA... ili wawe wana mreport vizuri... gwajima aje atupe ukweli nini kimetokea hapa...
 
Kwa maelezo ya britanicca ni kuwa hizo nyumba zimenunuliwa na CIA; Yono hili janga utakula na wa kwenu. Sisi hatumo kabisa, ohooo! Dr. Shika sio kighoma malima haya mie nimewambieni!

Kwa maana nyingine hizi ngeu ni kipigo ka cha lissu kutoka KGB sio?
Nakubariana na wewe Eddy na mwishoe Dr shika kitu atakachokifanya ulimwengu wa kitanzania hautaamini machoni mwao
 
unajua uongeaji wa kisomi wa dr shika umewachanganya,hawa wangekutana na yule lecturer aliyedata pale CBE wangekimbia,labda hawajawaji kukutana na vichaa wanaoongea hadi lugha zote za dunia..Mzee kachanganyikiwa sasa imekuja issue ya u SPY ndo imewachanganya wartu kabisa
Mtu unaambiwa alitopea kwenye ulevi akashindwa kumaliza hata masomo huko Russia bado hawaelewi,walahi soma kitabu cha Kalugin utajua hata torture cells za KGB walivyokuwa wana operate ,eti dr shika aliwatoroka KGB
Stupidddddddddddddddddddddddddddddddddd
Kasema KGB wapi? Amesema walikua mafia wa kirusi waliotaka awape 1.5 usd.angewapa angeuliwa, asipowapa angeuliwa clear sikiliza video.
Hakuna mjinga hapa ni ww unachoamini kila kitu kiko Google.
CIA na KGB zimeingia kwa hisia tu kwamba inawezekana huyu mtu alikua anaibia Siri na kutuma CIA akatengeneza pesa wakamshtukia kumbuka amefanya kazi viwanda vya chemical na silaha.
Kwa miaka aliyoishi kule anaweza kurudi hata kesho ni kwenda ubalozi wa Russia tu wanamtengenezea safari na ana family ila ndo hivyo mpk kutoroka kuja bongo ni kuokoa roho yake.
Anyway bado tunahisi ukweli anaujua yeye
 
Kwa maneno hayo tu, inaonesha Dr. Luis siyo wa mchezo, hasa hilo la kubana kengele ukimwona mbwa na kutomwangalia aliyelala.
Ndugu yangu hizo ni mbinu za kijasusi na ndiomaana nilimuona kamanda kanda maalumu alivyokuwa anaongea nilimuuuuuchekiiiiiii nikasema hii namba ni ngumu kuingia hata dherudhi kwa Dr shika,
 
Natamani mwandishi mwenye weredi kama Tido Mhando afanye nae mahojiano ya maswali ya kichunguzi. Tunaweza gundua mengi zaidi. Ila kuna kitu ndani yake anakificha na bahati mbaya wanaomhoji amewazidi sana akili so anacontrol maongezi anavyotaka yeye na wanashindwa kumchimba
Hilo ni kweli, wandishi wetu nimewazarau wanapenda kamera kuliko usalama wa mtu, hii ndo shida,
 
Kupitia hili nimethibitisha asilimia kubwa ya Watanzania wanaishi kwa kubisha tu yaani ni wepesi kubisha hata kitu kilicho wazi. Nilikuwa naambiwa watu wanaotoka Mkoa wa Kigoma ndiyo wabishi lakini kupitia hili asilimia kubwa ya Watanzania ni wabishi na wengi wanajifanya wajuaji mno.. Kwa hiyo hata kama kitu kimekutestified na all approved document bado kuna mtu atabisha tu na kuhusisha na siasa.
ina wezekana waliomo humu asilimia kubwa ni wa kutoka huko mkuu...
 
nae amerukwa akili au amebahatika kuepuka hivi vinywaji vya kirusi... kama aliviepuka basi kwa miaka saba na baridi la huko itakuwa alikuwa anacheza vimichezo michezo... vya utuuzima...
Salama yake, ni non alcoholic.
Ila ni kweli most of my mates waliosoma huko miaka 7, ni chapombe, na wamerudi na wake wa Kirusi na kuishia kuwatesa kwa mashoot ya nje!.
p.
 
Wasomi wa zamani kidogo wa siri sirini wanajua kabisa kuwa

Katika maisha yako dunia hii yenye blocks mbili mahasimu wa ubepari na ujamaa...(Kwa Africa) waogope sana hawa watu wachache miongoni mwa wengine (Labda kama wamekufa au kuchanganyikiwa)

- Edward Koinange (KE)

- Edgar Manase Laizer (Mtz)

- Yunus Akhibu (S L)

- Luis Shika (Tz)

- Mary Nomvete (S.A)

- Josephine Emeka (Nig)

Hao hata wakiota lazima watamke USA.
 
baba yangu ni kachero mstaafu,anasema walikua nae kwenye mafunzo ya ukachero nchini urusi miaka kadhaa iliyopita
kachero hawa hawa au kachero wa polisi? kama makachero haswa hawa wana staafu huku wakiwa wana tumika na serikali zao... kwa ujumla hawa staafu ila wana punguziwa majukumu tu...
 
baba yangu ni kachero mstaafu,anasema walikua nae kwenye mafunzo ya ukachero nchini urusi miaka kadhaa iliyopita
miaka ya...? ebu tupe miaka hiyo...? maana jina hauwezi kulisema, yawezekana walikuwa na ndg zetu huko...
 
Kasema KGB wapi? Amesema walikua mafia wa kirusi waliotaka awape 1.5 usd.angewapa angeuliwa, asipowapa angeuliwa clear sikiliza video.
Hakuna mjinga hapa ni ww unachoamini kila kitu kiko Google.
CIA na KGB zimeingia kwa hisia tu kwamba inawezekana huyu mtu alikua anaibia Siri na kutuma CIA akatengeneza pesa wakamshtukia kumbuka amefanya kazi viwanda vya chemical na silaha.
Kwa miaka aliyoishi kule anaweza kurudi hata kesho ni kwenda ubalozi wa Russia tu wanamtengenezea safari na ana family ila ndo hivyo mpk kutoroka kuja bongo ni kuokoa roho yake.
Anyway bado tunahisi ukweli anaujua yeye
Mkuu hukumsikia alipokuwa anahadithia hasa pale aliposema (sijui kwa kupitiwa/makusudi) kwamba jamaa hawa wa KGB WALINIPONDA KIDOLE KWA NYUNDO MPAKA MFUPA UKAUNGANA NA NYAMA!?
 
Kweli Dr shika katushika
Acha tu kaka, hapa nyumbani nilionekana sina confidence kabisa, kwa sasa napalilia nje, najigamba gamba mtaani na nini, yote Dr. Shika, nina projects zangu nilikuwa naziota na kuziandika, ntarudi na mrejesho baada ya mwaka, nimeanza kuzifanya, kabla sijamaliza maisha yangu hapa duniani, kudos Dr. Shika, kila kitu chawezekana ukiwa na confidence, hata mama watoto naona ananitazama kwa jicho la mashaka kama vile napitia midlife crisis! Ila wala sijali, nakaa kwenye boma langu nina watoto na nina uhakika wa kula ugali na matembele kila siku, kwanini nisiwe na confidence?! Watoto nawo nawatupia maneno ya kujiamini hapa na pale, I am reborn! Dr. Shika for Preseidency 2020...
 
Back
Top Bottom