The Valiant
JF-Expert Member
- Aug 16, 2017
- 2,826
- 3,947
mimi najiuliza who is britanicca ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona! Ndo maana majirani wanasema huwa anaamua kukaa ndani muda mrefu bila kutokq. Na kwa maelezo yake Shika anasema amezaa na wanawake 3 ila hana mke. Huenda anajua kazi yake ndo maana hakutaka kujiweka kwenye family commitments.Naanza kupata mwanga kwa hili tukio na huyu mtu..kuna mambo yanafanyika hapa duniani ukisimuliwa unaweza dhani ni hadithi za juma na uledi..
Siyo huyo tu. Anasema kazalisha wengine wawili hapa Tanzania. Halafu anasema ye ni mwanaume rijali.Kumbe ana mke wa ki-Russia
Umepata kuwasikia mabalozi au maofisa wa ubalozini?Nimepata kusikia mabalozi wetu wakitoa majibu ya kukatisha tamaa kwa raia wetu wanapoenda kuomba Msaada. Sipendi kuandika hapa ila nashauri wawajulishe RAIA wote kuwa yeyote atakae kwama ughaibuni ajitegemee asitegemee Msaada wa ubalozi wetu.
Huenda kaamua kujiweka wazi anajua suala lake halina mashiko na limeisha. Ndo maana siku zote ni kama alikuwa kajificha.Kivip mkuu, mie nahis washajua alipo watamtrack
Watakuwa hawamtafuti ndo maana kaijiweka wazi kutoka mafichoni.Ndio maana nkasema maisha yako hatarin since wanaomtafuta itakuwa rahis kwa wao kumkamata
Haha why?mimi najiuliza who is britanicca ?
Mm naamini hvo, na kuna walio mtumia kuplan hyo issue ya kuvuruga mnada na Yono wakilijua hlo..kwa hiyo unatuaminisha dk. shika alijitengenezea hii website kabla ya kwenda mnadani?then he is smthn else
Mkuu naona unawa crush watu kwa kujiamiiiini wakati details zako unategemea kwenye vitabu.... Kazi ipo!!unajua uongeaji wa kisomi wa dr shika umewachanganya,hawa wangekutana na yule lecturer aliyedata pale CBE wangekimbia,labda hawajawaji kukutana na vichaa wanaoongea hadi lugha zote za dunia..Mzee kachanganyikiwa sasa imekuja issue ya u SPY ndo imewachanganya wartu kabisa
Mtu unaambiwa alitopea kwenye ulevi akashindwa kumaliza hata masomo huko Russia bado hawaelewi,walahi soma kitabu cha Kalugin utajua hata torture cells za KGB walivyokuwa wana operate ,eti dr shika aliwatoroka KGB
Stupidddddddddddddddddddddddddddddddddd
Kweli, kwa kutunga nami nimewakubali....wasio kuwa na akili za ziada wataamini hyo story ya kutunga juu ya shika...haaaaa haaaaKwa kutunga mpo safi sana.
Mchezo wa kuigiza. Kunasiku nitashuha nondo!
hii web imetengenezwa mwaka 1999Mm naamini hvo, na kuna walio mtumia kuplan hyo issue ya kuvuruga mnada na Yono wakilijua hlo..
Wanaojua Historia yake ....Magu people ndyo waliomtumia..
Hadi leo hyo pesa haijaingia...si akalipie hzo nyumba...
... Hyo website haifanani na ukubwa wa kampuni lake....haaaa
P.O.BOX 9, Moscow, Russia .
Nina wasiwasi na ama masikio yako au uelewa wako mkuu.mwongo kama wewe sijawahi kumwona
web site faki; haifai kabisa
maelezo ya dr niyauwongo ya kutudanganya tulioishia manzese,
money transfer kwa cheque? dunia gani.
kama mmepiga uwongo si muwe waledi? hata matapeli wa tunduma wanawazidi
vipi
Nakuapia wanaokunywa CHAI hiyo ni wajuaji tu................!!!!!hakuna kitu, chai hiii
Ni FREE HOST web hizo wataalamu wa mambo wanazijua...........!!!!! ni za kuzugia mambo..........!!!hii web imetengenezwa mwaka 1999
Asee naanza kuwa na wasiwasi wako mkuusasa nimeamini wewe ni Muongo! ni kweli sio wote ambao wako kwenye umoja ila tunajuana wengi hasa walioakaa muda mrefu hapa. Watanzania ambao hupenda kujificha ni wale ambao hawana documents na maisha yao ya kuzuga na ujanja ujanja na na hata hao tunawafahamu. Tunafanya vikao hata watu wa St Peters huja moscow na umoja hauna michango!! acha fix na story ya kutunga, huyo ana matatizo mpelekeni hospital
yaani watu wakkisikia issues za CIA,KGB wanakuwa fascinated,mass hysteria kabisa hii embu jiheshimuni bana,yaani CIA itumie watanzania na wakenya walioingia kama wanafunzi kuipeleleza Russia?Russia??????Russia? Get the hell outta here,hapa bongo kwenyewe wanakuja kwa style za peace corps na issue nyingine za ku volunteer au kutumia watu wlaio katika embassy zao,naomba msome ESPIONAGE STORIES especially za cold war uone jinsi hawa mabwana walivyokuwa wana operate...
Huyu mzee hakuna anayekataa ni genius lakini ameongea uongo muda mrefu mpaka ameanza kuamini uongo and he stands by it
Tafuta hata mtu anayedanganya umri,akiurudia uongo mara nyingi yeye mwenyewe huanza kuuamini.
Jana nime search majina ya hao ma executives wa hiyo kampuni anayosema ni yake,hahahahahahahaha...JUST HAHAHA
For your information,CIA hawana historia ya kuwatupa watu wao kirahisi hata kama ni MOLES ndiyo maana kipindi cha cold war wengi kama Oleg kalugin wali defect to USA NA Kutunzwa vyema,ilihali upande wa pili walio defect from CIA to KGB kama KIM PHILLBY waliishia pabaya hadi kufa sababu Russians hawajali
NARUDIA TENA,HAIWEZEKANI CIA AU NSA WAKAJUA KUNA MTU ANA SIRI ZAO KAJIFICHA TABATA NA HALI ILE YA MAISHA ,SINCE 2000 MTU YUPO TANZANIA KAPIGIKA NYIE MNA FASCINATE TU HAPA,UNAAMBIWA BABA YAKE KAFA IN 2005 HAKWENDA KUZIKA INGAWA ALIKUWA DAR NA HADI LEO AKIPIGA SIMU NYUMBANI ANAWAAMBIA WAMSALIMIE BABA
CAMON GUYS. SINYWI HII CHAI YA RANGI. NOOOOOOOOOO
Kweli kabisa mkuuBALOZI ZA TANZANIA HAZINA MSAADA WOWOTE KWA WATANZANIA WANAOISHI NJE.
gwa sana ngumi za masikio wakati alikuwa ametekwa.Mmh kila jambo mnachomeka siasa tu.
Kwa kumbu kumbu zako ni watanzania wangapi waliowahi kujidhamini wenyewe??Baada ya uchunguzi inaonyesha mkuu wa polisi huenda aliona Dr shika ni matawi ya juu anaweza kuwa ni CIA akaamua kusingizia kumuacha ajidhamini, huyu mtu si wa mchezo mchezo.